Miradi ambayo nchi za Afrika zingefanya ili kuondoa utegemezi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.. hiyo solution uliyoitoa siyo.. wala haitekelezeki.. nani ataoa albino?

Cha muhimu ni kutafuta maarifa.. watu wengi wapate maarifa.. waondoke kwenye lindi la ujinga
Naomba ufafanuzi hapo kwenye bold; kama ni elimu hi hi tu yenye kutoa maarifa, kwsasa Africa raisi asiye na walau degree 1 wapo wachache sana, hope hata 10 hawafiki, most of them are well educated but bado tupo vile vile, wa kwetu si anazo 3 kabisa!? Nafikiri kipo kitu tofauti we a re missing!
 
Miradi ambayo kama nchi za Afrika zingeifanya ili kuondoa utegemezi wa nchi za Magharibi.:
1.Kama kungefanikishwa uanzishaji wa kampuni ya RASCOM 1992.Ambayo ingeendesha satelaiti ya pamoja na kuondoa utegemezi wa kimawasiliano.
2.Kuanzisha AFRICAN MONETARY FUND (AMF) kule Younde Cameroon mpango uliowekwa ili kuondoa utegemezi kwa IMF.Na kuwezesha African Investment Bank iliyo pangwa Sirte Libya,ingeondoa utegemezi wa WB kama ilivyo kwa Bank of the South kwa mataifa ya Amerika ya kusini.
3.Miradi ya njia za uchukuzi ya pamoja mf.Reli kutoka Tanzania -South Africa kama ingekuwa kunamtapanyo na muungano wa reli Afrika nzima basi ingekuwa ni rahisi kwenye shughuri za usafirishaji bidhaa na mizigo mizito ndani ya bara.
4.African community market,labda ingesaidi bidhaa zetu kuwa na thamani ndani ya soko la dunia kwani mataifa ya kigeni yangepaswa kununua kwenye soko la pamoja na si kwenye nchi mojamoja.
5.Mfumo wa pamoja wa elimu na kubadilishana wataalamu,ingesaidia kukuza teknolojia na ubora wa elimu pamoja na ujuzi ndani ya waafrika wenyewe,na si kutegemea mataifa ya magharibi.
JE UNADHANI KUNA LA ZIADA,hebu tushirikishane hapa.
Yote ingewezekana km nyerere asingepingana na nkrumah khs kuanzisha USA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miradi ambayo kama nchi za Afrika zingeifanya ili kuondoa utegemezi wa nchi za Magharibi.:
1.Kama kungefanikishwa uanzishaji wa kampuni ya RASCOM 1992.Ambayo ingeendesha satelaiti ya pamoja na kuondoa utegemezi wa kimawasiliano.
2.Kuanzisha AFRICAN MONETARY FUND (AMF) kule Younde Cameroon mpango uliowekwa ili kuondoa utegemezi kwa IMF.Na kuwezesha African Investment Bank iliyo pangwa Sirte Libya,ingeondoa utegemezi wa WB kama ilivyo kwa Bank of the South kwa mataifa ya Amerika ya kusini.
3.Miradi ya njia za uchukuzi ya pamoja mf.Reli kutoka Tanzania -South Africa kama ingekuwa kunamtapanyo na muungano wa reli Afrika nzima basi ingekuwa ni rahisi kwenye shughuri za usafirishaji bidhaa na mizigo mizito ndani ya bara.
4.African community market,labda ingesaidi bidhaa zetu kuwa na thamani ndani ya soko la dunia kwani mataifa ya kigeni yangepaswa kununua kwenye soko la pamoja na si kwenye nchi mojamoja.
5.Mfumo wa pamoja wa elimu na kubadilishana wataalamu,ingesaidia kukuza teknolojia na ubora wa elimu pamoja na ujuzi ndani ya waafrika wenyewe,na si kutegemea mataifa ya magharibi.
JE UNADHANI KUNA LA ZIADA,hebu tushirikishane hapa.
Hayo unayosema yalikua yanawezekana kufanyika AFRICA, na watawala wetu (colonialists) walilijua hilo, kipindi wanakuja kututawala wali apply divide and rule system,, walitugawa ili kuondoa umoja baina yetu the same walipotuachia nchi zetu chini ya ukoloni mambo leo walitugawa na wanaendelea kututenganisha baina yetu kwa ma system kama brain and drain hapo ndo tunapata viongozi wanao support western, wengine kama akina Mugabe waliobaki na misimamo yao ya kiafrika wanaonekana hawafai.
NB.Mwandishi sijui anaitwa chike onyeani kwenye kitabu chake cha CAPITALIST NIGGER amesema' african leaders they fought for freedom and independence and that was not a bad idea, the question is did they knew the real meaning of FREEDOM AND INDEPENDENT?
 
Back
Top Bottom