dr. Amesema mkome kumsemea, kasema muda ukifika ataongea mwenyewe!
Yaani heshima yangu kwa dr. Slaa imeongezeka, huyu mzee ana msimamo na sitegemei kuwa atatokeza kesho! Ukawa sio saizi yake, akajenge nchi na tingatinga!
acha unafki dr. Slaa hajawahi kuondoka cdm. Na kesho atakuwepo