The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,634
- 18,256
kumbe?
Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo
kumbe?
Rais wa 1-Kanda ya Ziwa-Nyerere
Rais wa 2-Zanzibar-Mwinyi
Rais wa 3-Kusini -Mkapa
Rais wa 4-Pwani-Kkiwete
Rais wa 5-Kaskazini-LOWASA
upo
2015 ma presdent is lowassaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ...............................lowasa atosha 2015-2025
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa. Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo! Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie. Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake. Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa! Twenzetu!
hiyo mijadala tulishaimaliza sasa tunajadili namna ya kuongoza serikaliini ya LOWASA.labda niulize hayo,ya nani atakuwa rais hayo hatujadili tena kwani anajulikana
Rais wetu lazima awe na sifa za kizalendo huyo si mwingine bali ni Stephen Masato Wassira.
Huyu jamaaa ni mnafiki mkubwa tu atueleze haya alihusika vipi akiwa kiongozi kama waziri mkuuu
1.ajibu kuwa hana account katika kisiwa cha Jersey uswisi kwa kueleza haya atoe majina ya wenzake walioweka hela huko bila kuficha
2.richmond nini ? aeleze na alikuwa anahusika vipi mpaka watu wanamuita fisadi wakati ndio anagombea urais
3. Hela anazotoa misaada kwenye mikutano ya kuchangia ujenzi wa makanisa anatoa wapi wakati watanzania wanalala njaaa kila siku na yeye anahela mbaya
4.alijiuzuru au alifukuzwa na kama alijiuzuru kwa kashifa gani na kwa nini analipwa hela ya kuwa waziri mkuu na anataka kuwa rais wakati ni tajiri wa kufa mtu anatafuta nini akipata uraisi wananchi kama sisi tunaweza kuuzwa kama watumwa ili apate hela kwa sababu anapenda hela sana
Mkikutana naye muulizeni haya maswali sisi tuliopo kijijini haji na hawezi kuja
Mwinyi kwao ni Mkuranga.........!!!
Zanzibar hawajawahi kutoa Rais.
Mkuu mbona unawatenga wa magharibi na mashariki?
Du! nasikia hata waziri wa afya aliwahi kuwa mbunge wa wilaya moja ya karibu na dsm, itakuwa ni huko mkuranga eee! sasa mbona sasa katokea zenj?
Kuanzia sasa mtu yeyeote anayetaka kuuliza chochote Rais Mtarajiwa Mh.Edward Lowassa anatakiwa kuuumiliza Bw Abubakar Liongo ambaye ameteuliwa rasmi kuwa msemaji wa Lowasa.
Lowasa kuanzia sasa hatakuwa na muda wa kujibu maswali ya waandishi wa habari bali jamabo lolote kuhusu Lowasa aulizwe Liongo!
Anyetaka mawasiliano yake ani-PM nimpatie.
Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzake.
Njia ya ikulu nyeupe kwa Lowassa!
Twenzetu!
Naam umenena mkuu waache wahangaike sie tunamwomba Mungu uzima huku tukizitunza kadi zetu za kupigia kura sie ndio waamuzMtahangaika saaaana, lakini maamuzi yapo na sisi wananchi na si wasemaji wa watu fulani fulani.
No comparison, no contrast, relationship iliyopo ni kati ya Liongo na Pascal Mayalla ambayo hata mimi naijua, na sio sio mimi Pasco wa jf!. (kumbuka sheria zetu!)Compare and constract the relationship btn Aboubakari Liongo and Pasco wa JF.