Haaaaa....hamlali kisa ACT...
kuwa CDM nisawa na kupiga mashine li kahaba bila ndom...
Eti chama cha democrasia....miku....yenu democrasia gana m2 ukihoji unaitwa msaliti,?
Eti maendeleo....maendeleo gani mmeleta tangu mme anza kula ruzuku?..hata darasa moja lakina kayumba hamjawahi kujenga...hata choo cha watoto wachekechea hamja wahi kujenga....nyie ni maendeleo gani mnayo maanisha?
Au maandamano na fujo plus kudandia hoja za watu....oneni mfano NCCR wana kesi na Kafulila ila bado wana mkubali na wana fanya kazi pamoja..
Nyie chama gan hata maamuzi ya mahakama ham yakubali?
siku mkishika nchi 70% ya wapinzani wenu watauliwa....ndo mana siwapendi nyie jamaa....thats y we need the part wchich will be mbadala wa CDM na CCM cz mmelewa sifa.
Act ndio mdudu gani?
Muulize dr. slaa kwa nini anaipinga sana ACT
Kikao kilichofanyika wiki iliyopita kilichoongozwa na Dr. Slaa kimepanga kuhakikisha chama cha ACT hakipati ushindi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Chadema kimepanga kuwarubuni wagombea wa ACT na kukihujumu kwa kukichafua kwenye vyombo vya habari kwa kutumia kurugenzi ya habari..
Kuwalisha maneno vijana wa ACT ili kuvuruga Chama.
Chadema acheni michezo michafu kuwahonga vijana wa ACT huko ni matumizi mabaya ya ruzuku.
Kama ACT imekufa kwa nini mnafanya vikao vya kuivuruga.? Chadema hamli, hamlali kwa ajili ya ACT
ACT = Another CCM Team
Huna akiliACT = UVCCM tawi la Kigoma
Wewe ni msukule wa wachaga. Mnyaturu gani huna akili hiviSawa sawa kabisa.Another CCM Team =ATC.
Unatumia akili ya kukodi ndio tatizoACT = Another CCM Team
Hupati choo bila kuitaja ccmKama mmeshindwa rudini tu tutasema mlipotoshwa tu na CCM Hahahahahaaa