Mipaka ya asili ya zanzibar

Mipaka ya asili ya zanzibar

We Bin Faza acha Porojo...
Zanzibar mwisho Chumbe...
Hiyo pwani ina wenyewe ..muda si mrefu vugu vugu la kuitenga Pwani na Tanganyika litaanza...
Na hivi na sisi tushagundua wese huku kusini ...tunatangaza kujitoa Tanganyika soon
 
J.... AU has categorically stated tuheshimu mipaka ya mukoloni.
AU hii inayoomba imeshidwa kukarabati makao makuu yake mpaka imesaidiwa na China ...!! Hakuna kitu hapo...African Unity for Development of Africans AUDA yaja. AU ni jina tu labda kwa wapenda vikao vya kugawana Per diem.
 
Endeleeni tuu, na akili zenu fupi. Ipo siku mtasahau kama mliwahi kuwa na znz huru.
 
Waungwana

Hii ndio ilyokuwa mipaka ya zanzibar katika awamu mbali mbali

zan18561886.gif
hapa munaona ukubwa wake
kuna maandamano ya wanajeshi zanzabar, kwa chadema mbaya kwa jeshi safi
 
Kwa hiyo wewe unatoka kwa county ipi? Pemba na Unguja yatakuwa majimbo yenye magovernor kila mmoja kama itakavyokuwa huku Tanganyika, zanzibar haitakuwepo! Tutakuwa na majimbo, rais mmoja full stop.
 
Ndio maana juzi tu Tibaijuka alianza kuomba tena ongezeko la mipaka ya Tanganyika na vip mwenye kujua atujuze alifanikiwa?
 
Ndio maana juzi tu Tibaijuka alianza kuomba tena ongezeko la mipaka ya Tanganyika na vip mwenye kujua atujuze alifanikiwa?

Wewe ndiyo unajua, utujuze, alafu ebu nisaidie kidogo, aliomba kuongezewa mipaka kama mipaka ya nchi, au mipaka kwa ajili ya matumizi?
Usiwe unaongea pumba jamvini, nenda kamulize Jussa kwanza.
 

HAPANA hata KIDOGO... Kwanza alikuja M-PORTUGUESE na Mwarabu hakuwepo...
Hiyo ilikuwa ni Mwarabu na Biashara ya Watumwa...

Mwarabu alitawala UNGUJA na PEMBA na MOMBASA

Pwani ya TANGANYIKA hakuwa anaitawala kama admin center aliitumia kushika watumwa na kupeleka UNGUJA PEMBA na OMAN... YOU R DREAMING READ A REALITY down here...


Before the SULTAN there were PORTUGUESE Invasion whom defeated local rulers and took control of almost all the coast of EA. F.Y.I They first concured OMAN... But the Omani's re-group and they finally succeded in evicting the Portuguese and local EA rulers seek help from Omani's that was towards the end of 17th Century.


But, the Freedom was shortlived as the Omanis annexed ZNZ and many coastal towns to their empire that was ruled from MUSCAT. Im 18th Century, ZNZ and Pemba were subjet to the sultans of Muscat and Oman... Then Sultan Sayyid Said moved to ZNZ.


The rule of SULTAN along the coasts was more of Commercial rather than Administrative- Territorial Empire - mostly SLAVE TRADE from INTERIOR.


18th Century was an ERA where EUROPEANS were looking for colonies; so Upon Sayyid Said Death his successors did not have a legal claim to the lands they controlled Commercially & no power to keep away the Germans and British from annexing them -- THE PATRITION OF AFRICA BERLIN CONFERENCE of 1884.


The Abolition of Slave Trade also play part in weakening the SULTAN and bit by bit he lost more land to the EURO colonizers. Then, The British & Germans comes into some agreements with the sultan to sell his possession on the mainland. So the Germans who were the first to colonize Tanganyika agreed with the British to exchange ZNZ with Heligoland and though the Sultan was still ruling, it was defacto British Colony. So ZNZ was ruled by 2 colonial masters Zanzibar of that time include islands of ZNZ, Pemba, Latham and coastal strip of Kenya.


But in 1963 Coastal Strip of Kenya and Mombasa was handed to the new Independent GVT of KENYA.

Mkuu, uchokozi huo sasa, we watu wenyewe shule walikimbia hadi sasa hivi wanaita hiyo lugha ya mkoloni wanaiita Kikristo, we umewaandikia hivyo, haelewi kabisa!
 
Africa yote ni zanzibar...............hongereni wazanzibar ambao mnahisi mnaonewa sana
 
:Nafikaga mahali na mkumbuka sana Julius Kambarage Nyerere..na Benjamini mkapa...
Viongozi waliokuwa hawataka mambo ya kijinga jinga..
 
Hydobenga,

Unaweza kuhisi ninaporoja, lakini ukweli kikawaida huwa haufutiki hata ukiwekewa majani kwa muda gani ndio maana wahenga wakasema UKWELI UKIDHIHIRI UWONGO HUJITENGA.............siku inakuja utanikumbuka na utakumbuka haya unayoyaita porojo.
 
MpigaKelele

Wakati Jamhuri ya Muungano wa tanzania ilipokuwa inaundwa mkataba wa miaka 99 uliowekwa baina ya zanzibar na mjerumani ulikuwa bado upo. Germany ilisaini mkata wa kuikodi fukwe ya tanganyika hadi 10 miles kuingia barani. Fukwe yote 100% kuanzia kusini hadi tanga hadi mwishi wa bahari katika mpaka wa kenya.

Hizo nyaraka za mkataba bado zipo na soon or later zitakuwa juu ya meza ya UN, i mean as soon as muungano ukivunjika tu

ahsante
 
Ilikuwa ya Zanzibar au ya Sultani wa Zanzibar?

Utumwa mlionao unawasumbua sana. Labda nikuulize swali ili ujione mjinga kwa amani: Wakati Tanganyika inapata Uhuru, uhuru huo ulijumuisha na maeneo hayo au hayo maeneo yalibaki chini ya mume wenu?

Inafanana na mipaka ya Malawi kwamba Ziwa Nyasa liko ndani ya Malawi!

Pia inafanana na Mkataba unaoipa haki Misri na Sudan juu ya kumiliki maji ya Ziwa Victoria!

Pia hiyo mipaka itafanana na ile ya 1884/1885 inayoonyesha Rwanda na Burundi ziko ndani ya Tanganyika!
 
Bangoo

Hao uliwataja walikuwa na agenda za siri ya kuzamisha znz forever

now its tooooooooo late
 
Jerrytz,

Si afrika yote laki east afrika yote kuanzia somalia hadi msumbizi ilikuwa zanzibar. yaani zenj empire.

Hili neno Mozambique unajuwa nini? ni Mussa Bin Mbek, walipokuja wareno walimkuta yeye ndie gavana pale wa zazniabr. hawakuweza kulitamka jina lake na wakawa wanamwita mussambek ikawa Mozambique hii kama ujuwayo wewe.

Kadhi wa Kwanza wa zanziabr 1832 alitokea somalia ya leo, Sheikh Muhidin Bin Abdullah Al Qahtan, kwasababu somalia ilikuwa ni part of zenj empire wakati huo. Ndio maana haikuwa noma kuweka mtu wa huko katika sehemu nyeti kabisa katika uwongzi wa dola ya zanzibar.

Kuhusu zanzibar kuonewa na tanganyika hilo halitaki darubini, mara ngapi nyinyi watanganyika munapeleka jesho lenu kutuuwa kule pemba, kwa kutumia kichaka cha uchaguzi wa siasa.....

ahsante
 
Wewe Mzindu,

Hilo neno shule ni lugha gani?

Nani kasema mtu kujuwa lugha ya kiingilish ndio kasoma sana? hilo ndio linalowaangusha nyinyi wa watanganyika.

Na hiyo aloiandika 007 ni upuuzi mtupu wa wazungu, ukitaka ukweli jaribu kuuliza tuke jawabu na reference books

ahsante
 
Kisimani

its possible but not probable
 
Wa-Ukenyege

U are dreaming, na ndoto huwatokezea wale waliokuwa WAMELALA

Kwashindwa nyerere aje awaze Pengo??????

ahsante
 
Back
Top Bottom