Hata sisi wana ccm kwa jinsi tunavyoona nchi yetu inavyokwenda tuko ccm kimtazamo tu lakini mioyo yetu tuko Chadema kwani wanataka kutukomboa kutoka kwa hawa wakoloni weusi. Wa Tanzania tumefika mahala tunatamani wakoloni kuliko ccm? Nina miaka zaidi ya 70 lakini hapana. Nasubiri hapa kwa ham kubwa niangalie mabadiliko ya nchi yangu. Wote tuangalie tv saa 10.
J . Hamis mtwara.
J . Hamis mtwara.