Kama ndivyo acha tusubiri utekelezaji ila kama tujuavyo mwakani tena ni hadithi hizi hizi miaka nenda rudiRais samia ni msafi na mwenye kuendesha serikali yake kwa uwazi,ndio maana unaona hata ripoti ya CAG ikiweka wazi kila kitu kichofanyika ili kila mtu abebe msalaba wake mwenyewe kulingana na matendo yake .