Kwa sasa hatua kali zinakwenda kuchukuliwa maana kutokuchukua hatua kutawavunja nguvu na kuwakatisha Tamaa wengi .kutapoteza maana na nguvu ya kuendelea kutamka neno uzalendo hadharani maana wengine watajiona kuwa uzalendo maana yake kuwa fukara na maskini wakati wengine wakijipakulia Minofu iliyonona ,huku wengine wakifa kwa njaa.
Hawa wamechukuliwa hatua gani tangu March 29 report ilipopokelewa?
Au hawaishi Tanzania?