Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,759
- 145,535
tumia ubongo wako utaelewa tu ndugu
bank gani itakayoweza kumkopesha mtanzania mmoja kiasi hicho cha fedha?
do u think it is easy like that????
Ok hata akikopeshwa Mengi anao mainjinia wa kumfanyia PID na PDO? ataweza kuwaipa mainjinia wa nje?
tunao wasomi katika fani hiyo?
ili kuweza kupatiwa mikopo lazima bank zinaangalia technical competence and financial capacity yake, previous expirience katika gas,applicants plan for exploration na expolitation (plani ya mwombaji katika utafutaji na uchimbaji wa gas, ni mtanzania gani mwenye hivi vigezo? Mfano Mengi mtaji wake ni Bilion 300 na kitu kama sijakosea huyu hajafika hata robo ya kuweza kukopeshwa..
watanzania wakiambiwa waungane waform joint venture hawataki ubinafsi mwingi, wataweza wapi?
serikali ya tanzania tunajua uwezo wa kuwakopesha watu haina kwa sasa,,
so we still depend on foreign companies o exploit our resources.
Ninachopinga JK leo kasema tutapewa 65% kisha 35% watachukua wao
This is not possible kabisa. kwa nchi kama Norway serikali inachukua only 28% kama income tax ya gas na 50% ni special tax inayotozwa kutokana na shughuli zote za uzalishaji kama kuweka mitambo,kusafirisha gas,waajiriwa katika mitambo hiyo ya gas,nk...jumla 78%...na katika makampuni hayo serikali chini ya statoil ndio wanakuwa operator wa hiyo gas wanajua kila kinachoendelea. statoil ni operator and at the sama time ni kampuni ya uchimbaji nao wanakua ndani.
I dont know kama Mr President ameongea kwa kushauriwa au ndio kaahidiwa hivo na makampuni haya ya nje kitu ambacho kwao hawalipi hivo.
kwa sasa serikali ihangaike kusomesha wazawa ili baadae waje kuitumikia serikali na sheria madhubuti inahitajika.
Nani kasema ni lazima iwe Mtanzania mmoja? Watanzania wakiambiwa waungane hawataki ndiyo license ya kuwatukana?
Kwa nini usitoe fursa, tangaza tenda,waachie wa submit bids, then unawakatalia on the merit? Na kuacha hizi discouraging rhetoric?