Juzi na jana nilikuwepo kwenye mkutano wa madini wa kimataifa. Nilibahatika kusikiliza speeches za maprofesa pamoja na wanasiasa lukuki waliokuwepo pale. Prof. Lumumba ni kati ya watoa mada wachache ambao walinivutia.
Uwezo wake wa kuongea bila ya kusoma mahali huku akiwa na uhakika na anachokiongea ni jambo moja zuri sana ambalo watu wote walilipenda. Alisema kuna baadhi za nchi za kiarabu wana miniister of impossible, yaani yale mambo ambayo ni impossible you have to make/turn them possibe. Akasema ikiwezekana na sisi Tanzania tuwe na waziri wa impossibe.
Je itawezekana kwa hapa kwetu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wake wa kuongea bila ya kusoma mahali huku akiwa na uhakika na anachokiongea ni jambo moja zuri sana ambalo watu wote walilipenda. Alisema kuna baadhi za nchi za kiarabu wana miniister of impossible, yaani yale mambo ambayo ni impossible you have to make/turn them possibe. Akasema ikiwezekana na sisi Tanzania tuwe na waziri wa impossibe.
Je itawezekana kwa hapa kwetu?
Sent using Jamii Forums mobile app