Wakuu ndugu yangu anatafta kazi za madini(migodini).Ni geologist mwenye degree ana uzoefu wa mwaka mmoja.Ufaulu wake GPA 4.1 ni kijana anaependa kujituma ktk kufanya kazi .Naomba wakuu msaada wenu au kama kuna yeyote anaweza muunganisha yuko tiari kufanya kazi ndani na nje ya nchi endapo atasaidiwa.Yeyote mwenye mapenzi mema ani inbox asante.