Jamani Tigo hamueleweki kifurushi cha x treme Tigo to Tigo kupitia number ya maajabu kilikuwa 450 dk 20 leo ni sh. 499 dk 15 kweli mlikuwa mnatafuta wateja mmeshawapata.
Hakuna lolote hawa walifanya punguzo watu walipojaa wakaongeza gharama kwa nusu. mfano kifurushi cha dakika 650 walikuwa wanakiuza kwa sh. 15,000/= kwa sasa tzs15,000 unapata dakika 350 tu. tigo nao ukijiunga hicho kifurushi cha mwezi ukatumia kabla ya siku 30 huwezi kujiunga tena ukitaka kujiunga hakipatikani. TIGO BORA HATA......................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.