Mimi Yanga ila kwa mpira ule na Mbeya City tuombe Neema za Mungu tu

Huwa siangalii mechi yoyote ya yanga labda ikicheza na Simba ila baada ya kusikia makelele yao nikajaribu kuangalia mechi zao mbili hakuna chochote mpira wao ni uleule wa kubutua
 
Back
Top Bottom