Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Hakika nisiwe mnafiki mimi kama mwanachama na mshabiki kindakindaki wa timu ya Wananchi au kwa jina lingine mabingwa wa kihistoria hadi dakika hii sijaona cha maana walichofanya timu yangu uwanjani.
Kuanzia kwenye muunganiko wa kikosi ni zero, fitness ya wachezaji zero, hakuna ubora wa kikosi zaidi ya kuona wakirukaruka tu.
Hakika Yanga yetu bado kabisa ina kazi kubwa sana ili kufikia ubora wa wapinzani wetu Msimbazi.
Angalizo: Hiki kikosi kikiendelea kucheza namna hii hakika nawaambia mwaka huu tunapigwa chuma 6 na Msimbazi.
Kuanzia kwenye muunganiko wa kikosi ni zero, fitness ya wachezaji zero, hakuna ubora wa kikosi zaidi ya kuona wakirukaruka tu.
Hakika Yanga yetu bado kabisa ina kazi kubwa sana ili kufikia ubora wa wapinzani wetu Msimbazi.
Angalizo: Hiki kikosi kikiendelea kucheza namna hii hakika nawaambia mwaka huu tunapigwa chuma 6 na Msimbazi.