General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Sijui shule inafunguliwa lini?
Mhh sidhani,kote kitambo Kuna nwingine alishawahi.Wow safi sana ,itakuwa alikukuta bikira
wiki la mwisho hili,ukumbi utakaa tu shwari,eti aliyeanza nae ndio atakayemaliza nae,nimecheka kweli,wakati mwenzie nikiwakusanya wote tangu nina umri kama wake wanajaa abood marcopoloSijui shule inafunguliwa lini?
Kaa nae ukose raha zingineNiliye nae ndo first hopefully atakua last pia....![]()