The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
Hahahahahahahahah.....
The Boss wewe kwa vituko sikuwezi.....!!
Umenikumbusha dada mmoja ambaye alinambia enzi zile Joe Kabila alipokwaa madaraka, kwamba akiitwa Kishasha siku hiyo anavunja ndoa!!!
Halafu unakumbuka tetesi kwamba Komondoo alikimbia Moshi kubeba mzigo baada ya kuambiwa kuwa kapera hawezi kuruhusiwa kuingia Ikulu??
Babu DC!!
he he hee DC hawa wanawake na 'title'
ndo maana Mswati akisema hata aje hapa TZ kuchagua
utashangaa watakaojitokeza na vibwaya....
hatutaamini macho yetu lol