Nina Akili Ndogo Sana
JF-Expert Member
- Jun 2, 2026
- 575
- 754
NB: Nina Akili Ndogo Sana.
I'm just asking out of curiosity, kwanini hakuna madiwani wa kuteuliwa na Rais/Makamu wa Rais/Waziri mkuu/mkuu wa mkoa??
Tunaona wabunge wa kuteuliwa ila madiwani wa kuteuliwa hatuna, why??
Au wapo ila mimi ndio kilaza/zumbukuku sijui??
I'm just asking out of curiosity, kwanini hakuna madiwani wa kuteuliwa na Rais/Makamu wa Rais/Waziri mkuu/mkuu wa mkoa??
Tunaona wabunge wa kuteuliwa ila madiwani wa kuteuliwa hatuna, why??
Au wapo ila mimi ndio kilaza/zumbukuku sijui??