Mimi sio Mwanasiasa lakini hii haikubaliki

Mimi sio Mwanasiasa lakini hii haikubaliki

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,082
Reaction score
1,569
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
 
Hivi kweli Dalali wa mjini serikali ikiwalinda wanachi wake wasitekwe, wasiuwawe, wasipotezwe tunaishaje? Tueleweshe
Tukiwa na tume inayotoa haki kw kila mtu anaegombea nafasi yoyote Udiwani, Ubunge na Uraisi tunaishaje?
Polisi wakifanya kazi zao kwa weledi na kufuata sheria na miongozo kapa PGO inavyowataka tunaishaje?
Ebu Tueleweshe vizuri sisi watanzania wenzako tuelewe ili tuungane pamoja kulikemea bunge la ulaya.
 
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Kilaza ktk ubora wako
 
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Tafuta hoja za hao wapinzani usome alafu ujekuandika tena.

Ivi kuwa na tume huru ni tatizo???.

Mipia sikubaliani na wazungu kutupangia mambo yetu kwa namna yoyote Ile.

Viongozi wetu ndio wanayapa haya mazungu nafasi ya kutufatafata.
 
"Haikubaliki nchi kuingiliwa uhuru wake na mipaka yake". Mkuu, pamoja na uhuru ulionao na mipaka ya familia yako yaani mkeo na watoto, ikitukia umeanza kuleta uhuni wa kupiga watoto wako na kuwauwa baadhi yao, sisi majirani tunauwezo wa kuwatetea wanao kwa kukuezeka makofi na hata kukuvunja meno kwa kuwa wewe siyo baba bora tena bali muuaji. Vivyo hivyo kwa nchi.
 
Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.
Wewe tu sio mwanasiasa bali pia inaonekana uwezo wako wa kielimu wa haya mambo ni mdogo sana.

Sasa usichokubali ni nini hasa maana hueleweki; ni Tanzania kuchukuliwa hatua bila kupewa onyo au kuambiwa viongozi wa CCM waache kuitendea nchi kinyume cha maumbile?
 
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Wewe ni kada wa kijani bila kupepesa macho.
 
Hivi kweli Dalali wa mjini serikali ikiwalinda wanachi wake wasitekwe, wasiuwawe, wasipotezwe tunaishaje? Tueleweshe
Tukiwa na tume inayotoa haki kw kila mtu anaegombea nafasi yoyote Udiwani, Ubunge na Uraisi tunaishaje?
Polisi wakifanya kazi zao kwa weledi na kufuata sheria na miongozo kapa PGO inavyowataka tunaishaje?
Ebu Tueleweshe vizuri sisi watanzania wenzako tuelewe ili tuungane pamoja kulikemea bunge la ulaya.
Nondo za msingi kwa mtoa mada.
 
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Mnanini cha kujifanya mataki kuingiliwa? Wakati budget yenu tu inawasumbua?
 
Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.
Ubovu wetu tumegawa resources zote kwa wageni halafu tunaendesha maisha kwa kutegemea misaada matokeo yake ni haya yanayoendelea
 
Salamu wakuu.

Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.

Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?

Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.

Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?

Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.

Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.

Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.

Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Wenye furaha na hii nchi ni mafisadi na kundi lao
 
Unaona sio sawa kupangiwa , ila ukienda kutembeza bakuli huoni haya?

Unaona sio sawa kupangiwa ila umesaini mikataba ya kimataifa inayohusika na kuzingatia haki za binadamu na umezivunja unapoelezwa ulipovunja unajitoa ufahamu kuwa wasikupangie ulipokuwa unasaini hukusoma?

Pia uache unafiki wa kusema eti wewe sio mwanasiasa bali ni dalali , maana ipo siku mtafikiwa huko kwenye udalali na madhalimu ndio mtajua udhalimu hauna rangi wala mipaka , umeona upande mmoja wa shilingi wa kutopangiwa ila unaona sawa kwa kile walichofanyiwa watu April 24 Kisutu?

Mwisho nikuulize swali hili
kuhusu wapinzani unaosema wamepanga uvunjifu wa amani

Hivi mtu anayesema tuwe na tume huru yenye haki na usawa ili kuzuia ukosefu wa haki pale ambapo watu watanyimwa haki ya kuchagua viongozi wawatakao na yule anayekataa kuwepo kwa tume huru na yenye kutenda haki yupi hapo yuko kwenye nafasi kubwa ya kuleta machafuko na uvunjifu wa amani?
 
Back
Top Bottom