Dalali wa Mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,082
- 1,569
Salamu wakuu.
Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.
Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?
Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.
Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?
Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.
Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.
Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.
Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.
Leo hii serikali yetu pendwa ya Tanzania ikikubali haya ya watu wa Ulaya basi tumekwisha.
Rais wa Wabunge Duniani yupa hapa kwetu iweje upangiwe mambo na wafanyakazi wako na ukubali kirahisi kwajili ya maslahi ya mtu mmoja ambaye anataka kulipoteza hili Taifa la Mungu.?
Sina uhakika lakini Kuna watu ambao hawapendi kuona hii inchi inafuraha Kwa Raia wake na ndio mana wanafurahia watu wa Ulaya kuipangia inch hii mambo yao.
Haikubaliki Nchi kuingiliwa uhuru wake na mipake yake asee wakuu.Kwanini mnataka kurudisha kule mlipotutoa kwenye mateso ya kikoloni?
Mimi sio Mwanasiasa lakini naona kabisa mpinzani hata kama hata shinda lakini atakuwa amefauru katika Makakati wake kabambe kabisa wa kuliaharibu hili Taifa.
Mtoto akikosea mpe onyo akirudia kosa Lile Lile basi mpe adhabu Kali ili wenzewi wasirudie kosa Lile Lile.
Naamini Kuna watanzania sio wa asili Sasa wanataka kutupeleka pabaya sababu wao hawana uchungu na hili Taifa.
Mimi sio Mwanasiasa na Udalali ndio Kazi yangu.