Mimi sikutokwa damu

Bikra ni kitendo cha kutokufanya mapenzi kabla, utepe au hymen kwa kimatumbi ni aina ya tissue kanakuwepo kwenye uke na huo utepe ukivunjwa ndio kuna damu inatoka, sasa wengine hupoteza tepe zao mapema kama kwenye michezo, mazoezi, kuvaa tampon, kujiingiza vidole n.k,

Ila unapofanya mapenzi kwa mara ya kwanza pale ni umeitoa bikra yako utoke damu au usitoke.
 
Ilitoka nikakufuta bila wewe kujua

Acha ubishi
 
Kweli???? Naweza kuona kama dam haitoki?
 
Au Mkuu haijatolewa vizuri nije niitoe Mimi maana unataka mpaka nyasi ziumie wakutanapo Mafahari wawili
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…