Mimi siachi ng'o.pun......

Mimi siachi ng'o.pun......

kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli
mwaka wa pili cna boyfrend wala mchumba kipindichote hicho mwanaumewangu vidole vyangu na cjawahi tena kutamani kuwa na mwanaume tokea nianz kamchezo haka ila asikwambie mtu bora mwenyewe kuliko shulba zenye maumivu ya kuja kuachwa
unavyoongea ujue kuna watu wanaitamani ungewapa waipelekee moto
 
finaly ladies wanamuwa wawazi....loh maana nilimuwa nashanga kila demu ukimuuliza unajipaga rha mwenyewe utasikia oh mie sifanyi i keep myself busy...nyoo wakati stats show 94% of women masturbate.

wee mtawala wa dunia na ubusy wake bado anamuda wakufukuzia papuchi ndio iwe nyeto ya dakika tano
 
Its against Gods will,mpini kuingia ndo imehalalishwa
 
mimi nakuunga mkono kama ni kwa ajili kuridhika(kupata orgasim)...maana hata sisi huwafanyia sana wapenzi wetu waridhike.....ila kama ni kwa sababu unaogopwa kutendwa no...no..no
 
unavyoongea ujue kuna watu wanaitamani ungewapa waipelekee moto


Hata akimpa, huyo mtu hataweza kumfikisha popote , maana dada saikolojia yake imeshaharibika, unajua mtu anaefanya punyeto hatakaa aridhike na mwanaume, au mwanamke wake.
 
Wewe uliyeanzisha thread hii na ile nyingne zote ni za mtu mmoja,anaetumia ID fake mbili,na nahc yupo kwenye promotion,wasio makin lazma wakamatwe
 
Najua unaogopa hiv bends kapime usishangae umeumia na midoleyako
 
Sawa agsam878 endelea tu kuchukia wanaume sababu hivyo vidole vitakupa mimba pia!
 
Last edited by a moderator:
Hivi wanawake wanapigaje punyeto??

Mwenye procedures naomba nifahamishwe!
 
Ni njia nzuri kuepuka magonjwa ya zinaa,ukimwi,..maana siku hiz wanaume michosho tu tena nunua ile machine au(dildo) uwasahau kabisa wanaume!!!!!
 
This message has been deleted by Satan.

Mpaka satani anaona mmezidi kikomo na kuamua kudelete stuff...its getting crazy and scary. Be aware folks!!
 
cna maana mbaya ya kumwambia asiache coz mapenz yanaumiza asikwambie mtu ww unaweza usitamani kama mm nilivyo ya chukia

Pole sana dada angu kwa kuwa na mawazo ya aina hiyo ya kuchukia mapenzi na kuamua kujiingiza katika michezo ya kishetani bila kujijua. Unapoelekea sio kuzuri na nina imani ipo siku utakuja hapa jamvini kuomba ushauri huku unajutia uamuzi wa kujiingiza ktk hiyo kitu.

Nakuombea kwa Mungu ubadili mawazo na kuachana na hako kamchezo ikiwezekana akupe mume atakayekuridhisha ili uepukane na athari zitokanazo na huo mchezo. Vile vile unaweza kwenda kwa wataalamu wa saikolojia kwa ushauri zaidi.
 
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli
mwaka wa pili cna boyfrend wala mchumba kipindichote hicho mwanaumewangu vidole vyangu na cjawahi tena kutamani kuwa na mwanaume tokea nianz kamchezo haka ila asikwambie mtu bora mwenyewe kuliko shulba zenye maumivu ya kuja kuachwa

Sasa vidole... kucha hazikuumizi?...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom