Mimi siachi ng'o.pun......

Mimi siachi ng'o.pun......

agsam878

Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
22
Reaction score
10
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli
mwaka wa pili cna boyfrend wala mchumba kipindichote hicho mwanaumewangu vidole vyangu na cjawahi tena kutamani kuwa na mwanaume tokea nianz kamchezo haka ila asikwambie mtu bora mwenyewe kuliko shulba zenye maumivu ya kuja kuachwa
 
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli
mwaka wa pili cna boyfrend wala mchumba kipindichote hicho mwanaumewangu vidole vyangu na cjawahi tena kutamani kuwa na mwanaume tokea nianz kamchezo haka ila asikwambie mtu bora mwenyewe kuliko shulba zenye maumivu ya kuja kuachwa

psychological sickness
 
Hongera kwa kujikubali. Kuna wanawake wengi sana, tena wengine wameolewa na bado wanafanya punyeto. Kwa sababu mbalimbali ikiwemo kutoridhishwa na wenza wao.

Ujasiri wa kutamka kuwa unafanya hivi, utumie kumtafuta mwenza atakaekufaa. Wapo wanaume wazuri tu, wenye utu na watakaokukamilishia na ndoto zako. Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi. Na sufuria haiogopi moto. Toka bi shosti, utapendwa hadi ushangae ulichelewa wapi!
 
Vifanyio vyetu vinaelekea kukosa kazi sasa,
Dunia ina mambo kweli kweli
 
cna maana mbaya ya kumwambia asiache coz mapenz yanaumiza asikwambie mtu ww unaweza usitamani kama mm nilivyo ya chukia
 
Pumyee ni kitendo cha kujichua sehemu za siri kwa lengo la kumaliza hamu ya kufanya tendo la ndoa. Na vilevile kuna madhara makubwa sana ya kupiga mast betion ni hatari sana kama unafanya hivyo acha" ASANTENI.
 
kuna mdada mwenzangu kaomba ushauri kwa wana MMU kuwa anataka kuacha punyeto.kwangu thubutu hapa siachi kitu kwakwel wana jamii wenzangu niwe tu mkweli


MjAxMi1mNzEzZTYyNTg4MzExZGI1.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom