Mimi nipo nipojee?

Mimi nipo nipojee?

Wacheka nini shosti?
Nimechoka kutamaniwa na ke wenzangu!
Leo naona dua zangu zinatimia! BONGE LA BWANA, najichukulia kiulainiiiii!
Shoga unalo?!!

Ahaaaa :A S tongue::A S tongue::A S tongue::A S tongue:
 
Hasara kwa wazazi wako.walitegemea waletewe mkwe neema sana wanaletewa mkwe john.
 
...lllllloh!
Kuharibiana ndio nini sasa? Shosti kama BONGE LA BWANA nawe walitaka useme tu! Tujue tupo wangapi!
Lol!
Watakanipokonya hivi hivi Omerayo wangu! Dah!
Mi nilikuwa najua we kidume cha mbegu!!
 
...lllllloh!
Kuharibiana ndio nini sasa? Shosti kama BONGE LA BWANA nawe walitaka useme tu! Tujue tupo wangapi!
Lol!
Watakanipokonya hivi hivi Omerayo wangu! Dah!
Ha ha ha laiti ungelijua simtaki hata kwa bure...Wewe mbona unanitia mashaka :A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
 
Hahahahaaa!
Usijali best!
Nilijaribu tu kuproof pumba za huyu Omereyo!
...
Mada za siku izi especial leo Hovyoooooooooo! Nadhani mwenyewe umeziona! Kuna watu walisema kipindi hiki ndio kutakua na utulivu (mada nzuri) coz itakuwa tumeshakwenda chuo! Kumbe!! Mnatuonea bureee!
Mi ndio nahama taratibu hivyo!

Ha ha ha laiti ungelijua simtaki hata kwa bure...Wewe mbona unanitia mashaka :A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
 
Hahahahaaa!
Usijali best!
Nilijaribu tu kuproof pumba za huyu Omereyo!
...
Mada za siku izi especial leo Hovyoooooooooo! Nadhani mwenyewe umeziona! Kuna watu walisema kipindi hiki ndio kutakua na utulivu (mada nzuri) coz itakuwa tumeshakwenda chuo! Kumbe!! Mnatuonea bureee!
Mi ndio nahama taratibu hivyo!
Tunahama pamoja!!
 
Back
Top Bottom