Ng'wanangwa uko sawa kabisa. Tuache ushabiki wa kinafiki hapa. Katika nchi ambayo katiba ilisha expire kama Tz, huwezi kusema eti unaweka mbele maslahi ya taifa mbele wakati uko nje ya chama cha siasa. Lazima kwanza utafute chama makini, ambayo imeonyesha dhamira ya dhati katika kutetea na kuyeendeleza maisha na maslahi ya wananchi wake. Hapa Ng'wanangwa ameeleza ukweli bila unafiki kuwa chama makini ni CHADEMA kutokana na sera zake za kuwaletea watz maendeleo. Inawezekana Ng'wanangwa kanywa mpaka maji ya bendera, lkn ujumbe wake ni wa msingi kwa wapenda maendeleo.