Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Hakuna cha kukumbushiana wala sina hamu kabisa hua namuona kama kaka yangu sina hisiaa

Hizi zinaitwa friends match
Kuna dada alikua demu wangu o level,bahati mbaya hakuenda advanced,pindi niko advanced yeye alikua chuo cha ualimu!
Baada ya kumaliza masomo alipata kazi
Mimi nikiwa mwaka wa kwanza chuo alinipigia simu na kusema anaolewa
Niliumia sana,baada ya miezi miwili demu akaleta kibox manyoa nikapiga
Mtoto kutoka mhhhhhhhhh balaa
But jamaa analea hadi Leo
Siri ya mtoto mama ndo mwenye jibu
Na siku xote mahalawa hawaachani
 
kuachwa*2 kuachwa ni shughuli ndefuu mbaya zaidi kwa yule uliyempenda yeye ananenepaa wewe unakondaa kwa mawazoo! Kuachwa ni maumivu jamani inafikia kipindi hata marafiki zako wa karibu unawaona wabaya aarghh

Ndugu inauma, inauma
Nilikuwa na mpenzi niliyempenda sn, tumekuwa nae mwaka wote 2013 tunakaa pamoja tunakula pamoja tukipanga kuelekea home kujitambulisha, siku isiyo najina, tukiwa tunatoka wote kwenye ukumbi fulani, kumbe amepanga najamaa kuwa watatoka wote, akaniaga kuwa anaenda lala kwa jamaa zake ndugu zake,
nikapata wasiwasi, mara akachukua hand bag yake kwenye gari yangu, kidogo namuona anampigia mtu simu, kidogo naona anaingia kwenye gari ya jamaa mmoja nisiye mjua, nikafika mlangoni nilipomuuliza, akafunga mlango wa gari kwa nguvu, wakaondoka,
kesho yake ananiambia ndo kwa heri huyu ss ndo baby wangu,
inauma sn kwani bado nilikuwa nampenda sn, mbaya zaidi mpka ss niki mpigia ananiambia yote wanayofanya na huyu jamaa wakiwa bafuni, jikoni na mahala pengine, jamani kuachwa inauma sna
 
kwamba upoje had usiachwe

niko poa sana kwa mabebz wangu,,najua kujali haswa nikipenda,,,mie demu wangu ni kama best yangu,ni km mtoto wangu navomdekeza na kumtunza...ndio maana demu anaweza jua nnamchiti na bd hawezi kuniacha kwa vile nnavyomtreat as a queen...Na niliowamwaga hadi leo nikitaka nakula japo wengine wameolewa..
 
wa A-levo aliniacha kisa sikumpaga papuchi kila siku nilimwambia asubiri! akaamua kumchukua duu mwingne ambae alikua anajilengesha kwake naye akalenga kikwelikweli! aliefuata aliniacha baada ya mim kuchaguliwa chuo mbali nayeye! 1st yr nlipoenda kuripot chuon nyuma akavuta duu mwingne mchaga. huyo dada anamnyanyasa sana yani wote wana kazi bt kila kitu anahudumia yey mpaka anafkiaga hatua ya kukopa hela toka kwang wakat mkewe nae ana kazi! thnks God nlimaliza chuo salama nikapata kazi+ mchumba tajiri!

Samahani huyu umesahau kumtaja.
ImageUploadedByJamiiForums1393136074.138096.jpg
 
niko poa sana kwa mabebz wangu,,najua kujali haswa nikipenda,,,mie demu wangu ni kama best yangu,ni km mtoto wangu navomdekeza na kumtunza...ndio maana demu anaweza jua nnamchiti na bd hawezi kuniacha kwa vile nnavyomtreat as a queen...Na niliowamwaga hadi leo nikitaka nakula japo wengine wameolewa..

Subiri yakukute we leta mbwembwe Tu, ndo nyie mnaoliaga ka' watoto mnapopigwa cha mbavu!
 
wana - JF, ktk haya mahusiano ya Kimapenzi, ktk kuachwa na wapenzi, nyie mliachwa kwa style gani? Mimi ktk mahusiano kadhaa niliachika hivi:


Kuna mmoja tulipendana sana, yaani sana, huyu nilisoma nae A- level, na kikubwa nilichomvutia ni upstairs, nilikuwa nakimbiza sana ktk combination yng ambayo na yeye, alikuwa anasoma! Tulikuwa boarding school, pamoja na mapenzi ya dhati ambayo nilipendwa na huyu kiumbe, F 5 na 6 sikuwahi kupewa papuchi.


Alikuwa na kauli yake "kuwa na subira J, katika siku ya ajabu, nitakupa vitu vya ajabu" Nilikuja kuachwa siku ya kwanza ya Orientation ya 1st yr kisa nilihoji kwa nini anaambatana na mkaka 1 na kila nikiwakuta wanaongea ki-external (kilugha) Niliambiwa mwanzo na mwisho wako leo kunifuatilia!


Huyu alikuwa wa kitaani Moro, nikiwa chuo DSM, alikuwa akija kuniletea papuchi! aalinipigia simu nirudi moro, kuna shida ya dharula, nikafikia hotel badala ya home. Alikuja kunipa penzi chupu chupu niwehuke! Kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 9, kila nikilala, naamshwa! mpk nikamuuliza ******** una nini leo? mbona si kawaida yako? Asubuhi akaniogesha kwa mara ya kwanza, tusharudisha chumba tunatembea, akanambia "leo home inasomwa barua yangu ya posa" nilikuwa natafuta namna ya kukuaga! Mimi hoi!


Mwenzangu mwana-JF, naomba kupata mbinu zilizotumika wakati unaachwa kwa namna 1 ama nyingine! Kama vp pita kimya kimya!

mkuu yako makubwa asey pole.
 
Sijawahi kuachwa,na mimi sijawahi kuacha,nnao kumi na mbili na kila mmoja anadai ndoa,kati yao nimezaa na wanne
Huoni hiyo ni zaidi ya kawaida Deshmo kuna utakayemwoa kati yao kweli?
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe niliachwa mara moja tu kiliuma sana ila siku hizi nimekuwa mgumu sana na kila litokealo naona hakuna jipya!! Nikiingia kwenye uhusiano ni mwendo wa kuwindana mguu ndani mguu nje, nikiona havieleweki najikataa
 
Mangi mie nikazama kwa toto la kirangi,penda mpaka mtoto akawa apindui,ila kisichoridhiki huwa hakiliki hata ukijifanya mjuzi namna gani,alikua akiishi na dada yake,akamaliza form4,akawa anasomea mambo ya mapishi,siku moja akanipigia simu na kunieleza anamimba,nikamwambia haina shida avumilie ntalea,nilikua namalizia chuo mwaka wa mwisho,three week kabla ya pepa hapo,akanambia haitaji kuzaa kwa sasa,nimpe pesa akatoe,nikamwambia sipo teyari kutoa pesa ili yeye aue,akakausha, kuna mud akawa ametulia nikajua ntaitwa father kijacho muda mfupi ujao.

Wiki zikakatika akaenda servise hombolo,kurudi dom town akanambia mimba imeharibika,nikamwambia haikua bahati,baada ya mwezi akanambia amekosana na dada yake,so anaenda kwa father wake arusha.

Nikaona isiwe tabu,ili niweze kuwa nae karibu huko aendako nikamchukulia nokia double line nikampatia.

Alipokua safarini akadai pesa ya kula hana,nikamtumia,alipofika arusha sikumpata mpaka siku ya pili,akadai alipofika watoto wa mama yake wa kambo walimfichia simu.nikamwambia avumilia baada ya hapo,hakupatikana tena.

Nikaja kutana nae tena dodoma aliponiacha akiwa na mwanaume mwingine,nilimuita mbele ya bwana ake akajikausha kama hanijui.

Nikaona kama naota,ikaita nusu saa namba ngeni ikaita katika simu yangu.
 
Dalili ya msichana/mwanamke kutaka kurudi ni hizi:

1. Wifi hajambo?
2. Au anakutext sms za kukujulia hali mahali ambapo huwezi kutegemea
3. Zawadi ndogo ndogo

Ukimkaushia hakati mawasiliano na wewe kwa baadhi, mimi imenitokea mmoja, nikimkaushia lazima ashtue japo kwa sms au anakujia moja kwa moja kwako face by face, lengo ni kufufua hisia alaf anapotea mradi mawasiliano yawepo basi na yasife...yupo mmoja wa namna hii kwangu!
 
Dalili ya msichana/mwanamke kutaka kurudi ni hizi:

1. Wifi hajambo?
2. Au anakutext sms za kukujulia hali mahali ambapo huwezi kutegemea
3. Zawadi ndogo ndogo

Ukimkaushia hakati mawasiliano na wewe kwa baadhi, mimi imenitokea mmoja, nikimkaushia lazima ashtue japo kwa sms au anakujia moja kwa moja kwako face by face, lengo ni kufufua hisia alaf anapotea mradi mawasiliano yawepo basi na yasife...yupo mmoja wa namna hii kwangu!

Mopao kama mtabiri vile, mimi wapo wawili, kila nikijitahidi kuwapotezea mbali, ndio nazidi kuwakaribia! Hapa nishapokea G'morning ya m1 wapo, na ana kama 10 days hatujawasiliana!
 
Back
Top Bottom