Mimi ni Polisi: My Muiseke Nyamughe

Mimi ni Polisi: My Muiseke Nyamughe

Du!! Kumbe ni muiseke Nyamughe ndio kamaliza uhondo wa Hadithi yetu pendwa!! Ila Mungu kakupa kipaji aiseee!!
 
Du!! Kumbe ni muiseke Nyamughe ndio kamaliza uhondo wa Hadithi yetu pendwa!! Ila Mungu kakupa kipaji aiseee!!

Kaka lutamyo finally umeona sababu... #nashukuru !


mimi hufanya hivi nawaambiaga marafiki zangu wa kiume ambao nahisi huwenda wakawa wananihitaji kimapenzi MY BOY ANAPENDA KUCHUKUIA VITU VIDOGO HIVYO AKIKUTA MSG YA MWANAUME INAYOASHIRIA MAPENZI ATACHUKIA (hata kama sina mpenzi kama simpendi mwanaume hufanya hivyo ili kutokumpa matumaini hasi)

sasa mrembo wako alichoshindwa ni kukupa tahadhari usi fall in love

WANAWAKE WENGI HATA WANAUME HUSHINDWA KUWAAMBIA WATU IKIWEMO MARAFIKI AMBAO WANAONESHA KUWAPENDA WANAHISI HUENDA WATAWAUMIZA

JAMBO AMBALO SI KWELI
ni bora umwambie mtu mapema ili askolee na aangalie fursa zingine

LAKINI WEWE NAWE MIAKA MI3 HUKUWAHI KUONJA ASALI(shake well before use) MPAKA UTAKE KUCHONGA MZINGA????umpeleke moshi bila kumwa,bia hata unampenda?????

UKAMTAMBULISHE KAMA RAFIKI KISA?????WAZAZI WASINGEKUELEWA LABDA KAMA MME ADAPT WESTERN CULTURE

I guess hata mimi nina hiyo weakness ya kuogopa kumuumiza mtu and at the end naishia kuwaumiza maybe zaidi ya ambavyo wangeumia kama ningeepusha mapema...kwa hili lililonitokea, I could help but think "Karma is serving me my own food"

Well, sio miaka mitatu, soma tarehe vyema masai dada. Na kumtambulisha binti kama rafiki at first nadhani ni safe kujua pia wazazi wanamchukuliaje (bila r/ship bias).
 
Last edited by a moderator:
Pole shemeji sheria za polisi na misimamo ya kisheria na kikurya pengine mungu amekuepusha ili uwe huru kulitumikia jeshi la polisi bila stress!

Kwani wakurya tuna misimamo gani?alichelewa kuwekeza ajilaumu mwenyewe,ila pole.
 
Mura Tarime one dadako hata ningemwambia palepale ubungo isingesaidia...!

Kwani dalili za kuwa ana mtu wake uliwahi kuhisi ana mahusiano au?nijibu afu nitakwambia shem coz hata me nina dada yako mkibosho.
 
Last edited by a moderator:
Kwani dalili za kuwa ana mtu wake uliwahi kuhisi ana mahusiano au?nijibu afu nitakwambia shem coz hata me nina dada yako mkibosho.

None at all! Maongezi (both direct and indirect) yake yalionesha she was single...!!!
 
None at all! Maongezi (both direct and indirect) yake yalionesha she was single...!!!

Ok huyo alilishwa maneno hasa kuhusu kabila lako,coz najua ndugu zangu hasa wa kule kijijini hawaamini katika ndoa ya jamii tofauti,na naamini hakua na msimamo yeye binafsi.
 
Pole sana afande Mentor ndio maisha hayo......
 
Last edited by a moderator:
Arawa utakua na Gundu..haiwezekani kila siku uwe na mwisho mbaya na wanawake,Unakumbuka yule wa tanga ulinusurika Ngoma,Yule wa Arsenal akakukimbia..yule mtoto wa kiarabu Kigamboni kumbe alikua mke wa mtu..Punguza mjani Afande Mentor

Jamaa anamajanga sana upande huo ila riziki yake itamjia tu siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Ni Law School mkuu,School of Law ni iliyokuwa Faculty of Law ya UDSM ila kastory kamenoga

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Kaka lutamyo finally umeona sababu... #nashukuru !




I guess hata mimi nina hiyo weakness ya kuogopa kumuumiza mtu and at the end naishia kuwaumiza maybe zaidi ya ambavyo wangeumia kama ningeepusha mapema...kwa hili lililonitokea, I could help but think "Karma is serving me my own food"

Well, sio miaka mitatu, soma tarehe vyema masai dada. Na kumtambulisha binti kama rafiki at first nadhani ni safe kujua pia wazazi wanamchukuliaje (bila r/ship bias).
pole sana looh ila nikimkumbuka yule mke wa mchimba chumvi natamani kukuona afande
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhhh... iko namunaaaa...

Namuna gani nameless girl...tuambiane!!!!

Ok huyo alilishwa maneno hasa kuhusu kabila lako,coz najua ndugu zangu hasa wa kule kijijini hawaamini katika ndoa ya jamii tofauti,na naamini hakua na msimamo yeye binafsi.

Kwani mnaambiwaje khusu wachaga eti?

Pole sana afande Mentor ndio maisha hayo......

Asante mkuu Katavi...nitapoa!

Jamaa anamajanga sana upande huo ila riziki yake itamjia tu siku moja.
Mwadunda, my time will come...

Ni Law School mkuu,School of Law ni iliyokuwa Faculty of Law ya UDSM ila kastory kamenoga

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Asante mkuu Mwanamdodo, fani za wenyewe hizo...

Hahaha pole mkuu

#shukrani !

pole sana looh ila nikimkumbuka yule mke wa mchimba chumvi natamani kukuona afande

Karibu sana kituo cha Salendar Bridge utanipata...
 
Last edited by a moderator:
Mentor, you are a story teller!!! Ni kipaji, I hope utakuwa unaandika katika printi media hii kitu na mwisho hata movie kabisa script zimekaa kisawasawa ukimpata wa kukupangilia vizuri ki movie!!! Nimedata aise kuanzia ile ya mke wa waziri!!!
 
Back
Top Bottom