Hapo kwenye huwezi jua Mungu kakuepushia nini u sound just like her. Kwa nini isiwe shetani kanikimbizia penzi langu..
Duh! Mkuu
prospa, try and be a bit sympathetic please. In time moyo ukirudi vyema nitaimalizia.
Ahahah
TANMO, guess nilichojifunza...
Cc:
Asprin,
The Boss na
watu8
Duh! Ilikuwa siku ya kwanza mimi kuonana naye, kusema naye...ilikuwa mapema mno!
Ila jaribu kuwaza na mimi hapa
masai dada, 'Umekutana na kijana na kwa dalili zote akakuonesha kuvutiwa nawe na hata kwa maongezi japo kiutani hakusita tangu siku ya kwanza kukuonesha nia yake kwako. Je, wewe kama
masai dada hukupaswa tangu siku ya kwanza kumwekea mazingira (hata kama hutomwambia directly) ya kujua kwamba dhahabu hii ina mwenyewe?'