Mimi ni Polisi: Fastjet

Mdogo wangu Mentor kajifunze uwe romantic na wewe
ticket miaezi mitatu bado unasubiria tuu aise hapo kweli kaona hapa kauzu
Ila nae huyo hafikirii mpaka ashauriwe na mashosti wakati mapenzi ni ya kwake

Hahaha ila kwa Mentor huyo kutoa nauli ya ndege sio jambo dogo. Ye mwenyewe hata hajawahi hata kuwaza kama ipo siku atajilipia kusafiri na ndege
 
Last edited by a moderator:

Thanks mkuu CYBERTEQ.


Cc: Wadada wote...

Hahahahahhahaha pole sana afande Mentor. Msalimie huyo Winnie au kama vipi nipatie namba yake niwasiliane naye ili niongee naye biashara muhimu

Ahaha katibu mwenezi #teamB umeibukia wapi leo!?? Labda nikupe ya Vaileth Shirima...Winnie bado nna biashara na yeye!!!

Mdogo wangu Mentor kajifunze uwe romantic na wewe
ticket miaezi mitatu bado unasubiria tuu aise hapo kweli kaona hapa kauzu
Ila nae huyo hafikirii mpaka ashauriwe na mashosti wakati mapenzi ni ya kwake

Ha! Kaka Mr Rocky yani hapo unaona sikuwa romantic!???
 
Last edited by a moderator:
Hujawahi kufanikiwa mkuu, wakuonee huruma bhana hata siku 1 na wewe utusue Mentor aka Mr Sikati Tamaa
 
Last edited by a moderator:
Inaumiza sana, inapasua sana kichwa!!!!

Winnie will pay the price, very sorry my brother Mentor!!
 
Hahaha ila kwa Mentor huyo kutoa nauli ya ndege sio jambo dogo. Ye mwenyewe hata hajawahi hata kuwaza kama ipo siku atajilipia kusafiri na ndege

Mkuu Nicas Mtei ni sawa ila kwa hawa dada zetu hawa hawajui namna tunavyotoil kuyaweka maisha yao sehem nzuri
Tunajinyima ili wapate pesa za salon, wapate usafiri mzuri wapate pesa za club na ukikosea tuu ndo unaambiwa hayo ya Mentor


Ha! Kaka Mr Rocky yani hapo unaona sikuwa romantic!???


Kwake hapo anaona hukuwa romantic Mentor maana kitendo cha kuambiwa ( akisukumwa na mashosti wake) ticket ina miezi mitatu kwake yeye sio kabisa
Alitegemea anaambiwa hayo aliyotaka
Ila nafikiri mashosti wana nguvu katika maisha yake kuliko yeye na ni mbaya sana kutokuwa na maamuzi haswa katika suala zima la matumizi
 
Last edited by a moderator:
Hahahah....naomba tu hasira za kutoswa zisihamie kwa raia lol
 
Hahahah....naomba tu hasira za kutoswa zisihamie kwa raia lol

Nimejitolea mhanga aniamishie mm
Bint wa kike hawezi kumchomesh mahindi kiivi
Pata picha kamshahara kotee kakata tiket ya ndege ...daaa kweli mapenzi upofu
 
Inaumiza sana, inapasua sana kichwa!!!!

Winnie will pay the price, very sorry my brother Mentor!!
 
Hahahahaha pole afande , ila tatizo nikwamba ulivutiwa sana na Winnie hukutazama makunyanzi namba hizo zinawenyewe we afande utaweza wapi na shukuru umemjua mapema ungevuta ndani hakika ungetafuta ajira mbadala kama si ujambazi .
 
Hivi mwallu anajua kama ulikua na mchepuko Winnie?ha ha ha
Vijana wa teamB utawajua kwa vitendo tu mishe zao
 
Last edited by a moderator:
Afande Mentor achana na mademu sio professional yako,kama unataka mega kisha run...kama Mr Rocky
Ha ha ha


Mkuu mwekundu mbona unanisingizia aise Mentor yanamkumba kwa kupenda saaana mpaka anajisahau na akitoswa anaumia sana
Sijui kama hapa alilifaidi tunda au ndo alikuwa anategemea kuja kufaidi tunda lake na ticket yake ya ndege miezi mitatu kabla
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…