Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Kwanza kabisa wanawake omba omba sijawahi kabisa kuwa kwenye mahusiano nao,unajua kwanini huwa sitongozi kila mwanamke anayepita mbele yangu!,kwanza kabisa najijua mimi ni mwanaume wa aina gani na natakiwa kuwa na mahusiano na wanawake wa aina gani!
Ushawahi kusikia mtu anayekaa masaki anasema kodi ya nyumba ni kubwa?,lakini akitoka mtu anaishi mbagala kwenda kuulizia nyumba masaki
Utakuwa mpare wewe
 
FB_IMG_16459833276909566.jpg
 
Labda Hawa tunaowapata kwa kutumia majini ya kichawi ndiyo wanakuaga hivyo yaani unakuwa umempumbaza bila yeye kujijua
Basi huyo utamkotro utakavyo mkuu

Ninao mfano uliohai, Kuna demu huwa nikikaa nakupiga naye stori huwa ananieleza madhaifu ya bwanaake kuwa jamaa hamjali pia hajawahi kumnunulia hata pichu ya ndani

Nilichokiona kwa yule Binti ni jinsi alivyomzoesha jamaa yaani kutokumuomba hela jamaa, matokeo yake jamaa amelemaa hivyo anaona hata akimpa yule demu hata 20k basi anaona kapoteza Sana

Mkuu sikufichi inabidi vitu vingine ujiongeze si lazima akwambie eti naomba hela mwishowe atampata anayejua kuhonga atakuacha soremba, mwanaume unakuwaje kama Binti bwana Tena ukute mkipewaga hela na hao mademu mnajinaga mnapendwa Sana na hujui hizo hela mwenzio kazipata wapi

Inaonyesha wewe ni wale boy wanaopenda kulelewa,
Mwanaume inatakiwa uhonge bhana, pesa ndiyo chachu ya mahusiano yaliyobora.
 
Labda Hawa tunaowapata kwa kutumia majini ya kichawi ndiyo wanakuaga hivyo yaani unakuwa umempumbaza bila yeye kujijua
Basi huyo utamkotro utakavyo mkuu

Ninao mfano uliohai, Kuna demu huwa nikikaa nakupiga naye stori huwa ananieleza madhaifu ya bwanaake kuwa jamaa hamjali pia hajawahi
Swali la msingi umeshawahi kukutana na manzi anakaa masaki ? Na akakwambia kodi imeisha? Au simu imevunjika kioo?
 
Kiukweli wewe mwenyewe inatakiwa ujue kucheza na alama na nyakati
Me naami hao wa masaki Kuna vitu vyao huwa wanapendelea kuhongwa Soo jitahidi kutomuangusha hata kama anakuhonga yeye

Wanaume kama mabinti
Swali la msingi umeshawahi kukutana na manzi anakaa masaki ? Na akakwambia kodi imeisha? Au simu imevunjika kioo?
 
Kwanza kabisa wanawake omba omba sijawahi kabisa kuwa kwenye mahusiano nao,unajua kwanini huwa sitongozi kila mwanamke anayepita mbele yangu!,kwanza kabisa najijua mimi ni mwanaume wa aina gani na natakiwa kuwa na mahusiano na wanawake wa aina gani!
Ngoja wapigania uhuru waje kukupa za uso😅 wale maraya carey wa Jeiefu wanaku zoom tu!
 
Labda Hawa tunaowapata kwa kutumia majini ya kichawi ndiyo wanakuaga hivyo yaani unakuwa umempumbaza bila yeye kujijua
Basi huyo utamkotro utakavyo mkuu

Mwanamke hata umpe nini akitaka kukuacha atakuacha tu,unataka kuniambia wewe ndio unajua kuhudumia kuliko Billgates aliyeachwa na mkewe?jifunze kujipenda wewe kwanza dunia hii
 
Swali la msingi umeshawahi kukutana na manzi anakaa masaki ? Na akakwambia kodi imeisha? Au simu imevunjika kioo?
Anaanzia wapi kukwambia hizo habari😅 labda awe mkazi wa Mbagala au Gomz aliehamia masaki!

Ila kwa mzawa wa Masaki huwezi sikia hizo habari.
 
Back
Top Bottom