Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Mimi ni mwanaume mwenye bahati

Kwanza kabisa wanawake omba omba sijawahi kabisa kuwa kwenye mahusiano nao,unajua kwanini huwa sitongozi kila mwanamke anayepita mbele yangu! Kwanza kabisa najijua mimi ni mwanaume wa aina gani na natakiwa kuwa na mahusiano na wanawake wa aina gani!

Ushawahi kusikia mtu anayekaa masaki anasema kodi ya nyumba ni kubwa?,lakini akitoka mtu anaishi mbagala kwenda kuulizia nyumba masaki
Remember:

If your value is high enough...

Girls will forgive you almost anything.
 
Kwanza kabisa wanawake omba omba sijawahi kabisa kuwa kwenye mahusiano nao,unajua kwanini huwa sitongozi kila mwanamke anayepita mbele yangu! Kwanza kabisa najijua mimi ni mwanaume wa aina gani na natakiwa kuwa na mahusiano na wanawake wa aina gani!
Nipo kwenye dunia hii hii unaoishi wewe sijawahi kuombwa Elfu 50 na mwanamke
 
Remember:

If your value is high enough...

Girls will forgive you almost anything.
Wewe unajua unachokizungumza.

Kadri unavyozidi kuwa na hela, ndio kadri inavyozidi kuwa rahisi kuwala wanawake bila kuhonga hata senti tano! (And vice cersa)

Watu wenye hela hawahitaji kuhonga, maana wanawake wanajipeleka wenyewe na ukiwatongoza hawakatai! Kati ya watu ambao hawahongi kirahisi, ni watu wenye hela!

Wahongaji wakubwa ni sisi makapuku ambao tunadhani bila kuhonga, atakuja mwingine anaehonga na kutunyang'anya tonge mdomoni. Tunasahau kwamba hata ukihonga, kama pisi ni kali bado atakuja mwenye hela kuliko wewe na anamchukua manzi kirahisi kabisa na huna cha kufanya!

Mimi mbinu zangu 2 ni hizi:
1. Kuna wanawake wengi sana warembo balaa ila ambao hawajajanjaruka bado. Hao nakula sana bila kuhonga kitu cha maana. Wakianza kujanjaruka tu, ndukiii...!

2. Pisi kali naziingia kwa gia ya kitajiri, nawazingua balaa kwa mikwala mingi ila sitoi hata 10 mwanzoni. Mbinu yangu ni kuhakikisha nakula mzigo haraka sana wakati bado ana wenge kabla akili hazijamkaa sawa. By the time anataka kuanza mizinga, mimi yulee...
 
Ipatikane siku sisi wanaume tusiwazungumzie kabisa wanawake kwenye mahusiano kwa kuwalalamikia angalau tuwapumzishe kwa hata wiki moja tu hivi.
 
Wewe unajua unachokizungumza.

Kadri unavyozidi kuwa na hela, ndio kadri inavyozidi kuwa rahisi kuwala wanawake bila kuhonga hata senti tano! (And vice cersa)

Watu wenye hela hawahitaji kuhonga, maana wanawake wanajipeleka wenyewe na ukiwatongoza hawakatai! Kati ya watu ambao hawahongi kirahisi, ni watu wenye hela!

Wahongaji wakubwa ni sisi makapuku ambao tunadhani bila kuhonga, atakuja mwingine anaehonga na kutunyang'anya tonge mdomoni. Tunasahau kwamba hata ukihonga, kama pisi ni kali bado atakuja mwenye hela kuliko wewe na anamchukua manzi kirahisi kabisa na huna cha kufanya!

Mimi mbinu zangu 2 ni hizi:
1. Kuna wanawake wengi sana warembo balaa ila ambao hawajajanjaruka bado. Hao nakula sana bila kuhonga kitu cha maana. Wakianza kujanjaruka tu, ndukiii...!

2. Pisi kali naziingia kwa gia ya kitajiri, nawazingua balaa kwa mikwala mingi ila sitoi hata 10 mwanzoni. Mbinu yangu ni kuhakikisha nakula mzigo haraka sana wakati bado ana wenge kabla akili hazijamkaa sawa. By the time anataka kuanza mizinga, mimi yulee...
Umetisha sana. Tutakuteua uende Ukraine ukatuwakilishe.
 
Raha ya mwanaume ni kuhudumia pasapo kuombwa yaani ukisikia kufanya hivyo unafanya na usipojisikia tena vivyo hivyo,lkn sio ile una date na mtoza ushuru
Sasa wewe unajiitaje mwenye bahati ilhali hiyo raha wewe huipati.??
 
Hii pia ni bahati??
Mimi wala sijali kuombwa pesa, na ninatongoza kwelikweli. Sipendi nikiwa na genye nikose utelezi.

Ukiwa na pesa, kuombwa pesa ni raha sana. Usipokua nayo kuombwa pesa ni kero.
Mr.Lucky inaonekana mtonyo kwako ni changamoto.
Umesema kweli mwaka jana nilikuwa na manzi niliona kuonga rahaa sana ila pesa ilivyo kata nikaona ugumu mwisho wa siku nikajitenga
 
Kwa sasa hakuna pisi kali.

Pisi kali ilikua miaka yetu ile

Unampigia mtoto simu landline baada ya kuandikia barua.
 
Back
Top Bottom