- Thread starter
- #141
Mkuu I was rapped on the first day.Si ungetumia condom,mimi siwezi kamwe shiriki tendo la ndoa kavu kavu na mwanaume ambae sijui historia yake. Tena anatokea Tanzania?????
Mkuu I was rapped on the first day.Si ungetumia condom,mimi siwezi kamwe shiriki tendo la ndoa kavu kavu na mwanaume ambae sijui historia yake. Tena anatokea Tanzania?????
Mtu anakurappe kwa nini usipige simu polisi? Sema hamu ilikuwa imekuzidia. Any way yaliyopita yamepita. Ishi kwa matumani.?Mkuu I was rapped on the first day.
MmmhhKwasababu wao wenyewe immune system yao inexhaustible shake sasa wakipata magonjwa mengine si ni mvurugano


ilo neno hapo umeniacha kinge mamaAaaaaahhh shubaamit kabisa yani uyo jamaa anarape ugeniniMkuu I was rapped on the first day.
Imeshake mkuu ni typing error
Well I was embarrassed na sikuwaza the consequences, as you have said let by gones be by gones.Mtu anakurappe kwa nini usipige simu polisi? Sema hamu ilikuwa imekuzidia. Any way yaliyopita yamepita. Ishi kwa matumani.?
Hununui lakini daktari lazima aangalia gharama na mahitaji ya watu.What do u mean hajali cost inamaana huko dawa muna nunua kwa pesa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaahhh owk like shelter clothes amaHununui lakini daktari lazima aangalia gharama na mahitaji ya watu.
Mkuu nilihitaji uelezee kidogo ila naona una jibu shortcut sana,ok bwana si mbayaPrep ni anti virology kwahiyo zinazuia receptors kupokea virus kwenye cell
No kila kata inapewa fungu la budget, sasa kama kata yenu ina mahitaji mengi ya dawa ghali inamaana budget itafemea.
Umeamua kutaja jina lake kabisa!!!
Cool down, mambo mengine yanayohitaji privacy potezea hasa kwenye hii mitandao ya kijamii.
Zabron si jina lake halisiYeye ameficha ID yake ya zamani ambayo bila shaka ni ya uongo ila kaamua kutaja jina la mtu waziwazi!
Unamlipa daktari na upo Sweden?Basi mkuu kauka, baadavya kupata maambukizi nilisoma few modules za infectioous diseases na sexual health pia daktari wangu amekuwa mshikaji sana. Huwa tunajadili dawa zangu kama anaongea na colleague wala hajali cost as far as I am happy.
Wapi hukoNafahamu hilo wala silipingi binafsi ninaushahidi usio na Shaka ndani yake kuwa watu wamekunywa miti shamba wakapona kabisa lakini madawa ya hospital yanakufanya uwe na muonekano mzuri wa kiafya kiasi kwamba mtu hawezi kuamini kuwa umeathitika
Lakini dawa za mitishamba nakuhakikishia zinatibu kabisa na wala hauto acha kunywa dawa zako za kila siku
Huyo babu wa Loliondo ni muovu muongo Shetani aliyesababisha vifo vya Watz wengi kutokea kwa kudai ndoto za kishenzi Mungu auvunje mgongo wake
Thank you sometimes holding a certificate doesn’t mean you passed the exam.Itakuwa ulikuwa kicheche...
Kila Kata?Wacha uongo wewe. Huko kuna utaratibu wa matibabu unasimamiwa kikanda yaani Landsting.Hamna Kata inayopewa budget.No kila kata inapewa fungu la budget, sasa kama kata yenu ina mahitaji mengi ya dawa ghali inamaana budget itafemea.
Ni alikubaka au baada ya kushikwa maungo yako ukalegea tuMkuu he forced himself on me