Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Mimi ni muathirika wa UKIMWI

Pole sana, hii mambo ipo sana nakumbuka kuna mrembo nilimuelewa sana na alinielewa pia, siku moja tukapanga outing ya kawaida kufika maeneo nkagusa bia 3 akili za kijinga zikanitawala kwenye begi nilikuwa na biolin 2, prickers na ile maji nkamgusia kupima akakubali, kitendo cha kukubali kupima nkajikuta napotezea nkiamini yuko vzr, nilipiga kavu round Kama tano uck ule.... Asbh nkaona tupime Ngoma ikareact kwake NILILIA KINOMA THAT DAY nilipotoka hapo nilienda moja kwa moja hospital nkapata PEP, nilipewa vidonge viwili coz it was wkend jumatatu ndo nkapewa mzigo wa TLE nilipiga nkamaliza mwezi baada ya hapo nkaanza testing every 2 weeks, thanks GOD still nko negative ila kiuhalisia hatuchomoki kirahisi.
 
Pole sana, hii mambo ipo sana nakumbuka kuna mrembo nilimuelewa sana na alinielewa pia, siku moja tukapanga outing ya kawaida kufika maeneo nkagusa bia 3 akili za kijinga zikanitawala kwenye begi nilikuwa na biolin 2, prickers na ile maji nkamgusia kupima akakubali, kitendo cha kukubali kupima nkajikuta napotezea nkiamini yuko vzr, nilipiga kavu round Kama tano uck ule.... Asbh nkaona tupime Ngoma ikareact kwake NILILIA KINOMA THAT DAY nilipotoka hapo nilienda moja kwa moja hospital nkapata PEP, nilipewa vidonge viwili coz it was wkend jumatatu ndo nkapewa mzigo wa TLE nilipiga nkamaliza mwezi baada ya hapo nkaanza testing every 2 weeks, thanks GOD still nko negative ila kiuhalisia hatuchomoki kirahisi.
Dah , kazi kweli kweli. Bora ulishtuka mapema. Mimi kwanza kutembea na mtu sijui historia yake ni marufuku. Other wise tunakwenda kupima kwanza kabla ya kujiweka kwenye mazingira yanayoweza sababisha kufanya ngono. Nimeshuhudia watu wamekufa na HIV AIDS acha tu. Bora niwe sina mtu kuliko kuuza mechi.
 
Pole sana, hii mambo ipo sana nakumbuka kuna mrembo nilimuelewa sana na alinielewa pia, siku moja tukapanga outing ya kawaida kufika maeneo nkagusa bia 3 akili za kijinga zikanitawala kwenye begi nilikuwa na biolin 2, prickers na ile maji nkamgusia kupima akakubali, kitendo cha kukubali kupima nkajikuta napotezea nkiamini yuko vzr, nilipiga kavu round Kama tano uck ule.... Asbh nkaona tupime Ngoma ikareact kwake NILILIA KINOMA THAT DAY nilipotoka hapo nilienda moja kwa moja hospital nkapata PEP, nilipewa vidonge viwili coz it was wkend jumatatu ndo nkapewa mzigo wa TLE nilipiga nkamaliza mwezi baada ya hapo nkaanza testing every 2 weeks, thanks GOD still nko negative ila kiuhalisia hatuchomoki kirahisi.
Daaah yalinikuta mm mzee ..naamka asubuhi manzi kaenda church sasa sijui akili gani ile ilinikuta nikaanza kupekua begi lake,nikaanza kuangalia picha na vitu vingine mara paaaaap!...nikaziona TLE,COTRIMOXAZOLE,ANTIFUNGAL...yaaani nikaanza dozi fasta ya pep kwa 30 days...daaah acha mkuu mambo haya ni kumuomba Mungu tuu aisee
 
Ndo ashaikacha hvyo anatumia yake ya zamani!!
Binafsi member akija na mada kama hii akafisha I'd yake anayo tumia kila siku huwa mawazo yananipeleka anawafuasi alio waambukiza na sio kuogopa kunyanyapaliwa na watu ambao hawakujui kivyovyote vile.
 
Dah , kazi kweli kweli. Bora ulishtuka mapema. Mimi kwanza kutembea na mtu sijui historia yake ni marufuku. Other wise tunakwenda kupima kwanza kabla ya kujiweka kwenye mazingira yanayoweza sababisha kufanya ngono. Nimeshuhudia watu wamekufa na HIV AIDS acha tu. Bora niwe sina mtu kuliko kuuza mechi.
Kwa Hiyo mtu akitaka one night stand akawa na vipimo baada ya check up wote mko safi...

Ni ruksa kukutafuna ...
 
Kwahiyo kipindi chote hicho miaka 10 umeambukiza wangapi?
Inamaana watu wote unaokutana nao mnarukianaga tu bila kupima?
Are you married? inamaana hakuna hata mwanaume mmoja aliyewahi kukwambia mkapime? kipindi chote hicho?

Something doesn't add up , Ah-Ah you're lying, thread yako haina mantik. 🧔😕
 
Nilipousoma tu uzi na comments za mwanzoni nikastuka kweli, nikajisemea tu maybe sio yeye ni uandishi tu. Jees
Nimeumia kweli jamani.
Best hata mimi nimehuzunika mno, kifupi nampa hongera kwa kujikubali.
 
Akipiga simu Polisi wale virus aliowaacha wanageuka vibaka au ?

yaani wewe!!

Case nyingi za rape huwa haziripotiwi polisi, wanawake wengi huwa wanajisikia aibu na kuona jamii itamuonaje na itamuelewa kweli?

Kwa case kama hii, huyo ni mtu wake wa karibu na kamkaribisha kwake, hivyo anakuwa na maswali mengi mwisho wa siku anaamua kupuuzia.

Ila nisichokielewa ni hii ya kuendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume alokubaka
 
yanai wewe!!

Case nyingi za rape huwa haziripotiwi polisi, wanawake wengi huwa wanajisikia aibu na kuona jamii itamuonaje na itamuelewa kweli?

Kwa case kama hii, huyo ni mtu wake wa karibu na kamkaribisha kwake, hivyo anakuwa na maswali mengi mwisho wa siku anaamua kupuuzia.

Ila nisichokielewa ni hii ya kuendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume alokubaka
Mpendwa kwani alibakwa 🙄
 
Back
Top Bottom