kwa Sasa Sina demu maisha magumu.!demu wako nae ni introvert
kwa Sasa Sina demu maisha magumu.!demu wako nae ni introvert
hamna vibarua hapo?Nimeajiliwa kwenye kampuni fulani mkuu
umewahi kuwa na demu?kwa Sasa Sina demu maisha magumu.!
ndiyo mkuu.!umewahi kuwa na demu?
alikuwa introvert? so saizi unaponea wapi?ndiyo mkuu.!
hapana alikuwa ni extrovert na mahusiano yetu hayakudumu zaidi ya meizi 5.kwa Sasa nimeamua kuachana na habari za mademu.!alikuwa introvert? so saizi unaponea wapi?
😃😃😃Basi watu wote watajifanya wanafanana na wewe kitabia.
Unatafuta kibarua?hamna vibarua hapo?
Mkuu hapa hakuna vibaruahamna vibarua hapo?
eeee aisee.vipi unajua sehemu yenye vibarua?Unatafuta kibarua?
Sielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akilWe ni mchoyo
SureSielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akil
Hamjui watu aina hii wanaptia shda gan na wanakuwa affected sana pale wanapoangushiwa lawama ambzo kwao si za kwel
Tunaishi dunia tofauti ni ngumu kumuelewa introvent kama ww sio introvent. Kuwa introvents ni zaid ya mateso kwa jamii za kiafrica
Sijaona kama ni ajabu nikawaida sana na ni choice tu mwenyewe nipo hivyo kuhusu marafiki ninao wachache sana my rule "LESS FRIENDS LESS BULLSHIT" so sitaki marafiki kibao halafu uchwalaHabari wana jamii forums.
Twende moja kwa moja kwnye mada.
Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.
Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu
Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac
In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.
Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.
Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.
Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Hata Mimi Niko hivyo kwakweli ..kawaida kbs. Marafiki wengi ni mzigo
kwa hiyo umewahi kuwa na demu mmoja tu au kuna mwinginehapana alikuwa ni extrovert na mahusiano yetu hayakudumu zaidi ya meizi 5.kwa Sasa nimeamua kuachana na habari za mademu.!
hapana ni zaidi ya moja na wote walinipenda wenyewe.si unajua Tena introvert ni waoga kutongaza mademu.😀😀.!kwa hiyo umewahi kuwa na demu mmoja tu au kuna mwingine
You must be a very qualified Doctor. Congulatulations!Hizi effects za stress. Kama umeshapitia vipindi vigu vya personal problems matokeo yake ni hayo.