Mimi ni mtu wa aina gani?

We ni mchoyo
Sielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akil

Hamjui watu aina hii wanaptia shda gan na wanakuwa affected sana pale wanapoangushiwa lawama ambzo kwao si za kwel

Tunaishi dunia tofauti ni ngumu kumuelewa introvent kama ww sio introvent. Kuwa introvents ni zaid ya mateso kwa jamii za kiafrica
 
Sielew n nn kinafanya watu waamin mtu anayefanya mishe zake ni mchoyo ,mbinafsi sijuin nn kinawakumba watu wenye hyo akil

Hamjui watu aina hii wanaptia shda gan na wanakuwa affected sana pale wanapoangushiwa lawama ambzo kwao si za kwel

Tunaishi dunia tofauti ni ngumu kumuelewa introvent kama ww sio introvent. Kuwa introvents ni zaid ya mateso kwa jamii za kiafrica
Sure
 
Habari wana jamii forums.

Twende moja kwa moja kwnye mada.

Mimi ni kijana wa rika fulani 20-30 ni mfanya biashara.

Sababu zilzonifanya niandike huu uzi ni kutokana na maisha ninayoyaishi mpaka muda mwingine najikuta najishangaa na kujiona ni kama mtu wa ajabu

Iko hivi kwa kipindi changu chote huwa sinaga marafiki, watu wangu wa karbu especially ninaoishi nao mtaa mmoja wanajitaidi sana kujenga urafiki na mimi kwa kuja nyumbani na kunijulia hali mara nyngi ila mimi binafsi sinaga hali hiyo ya kusema niende kwa rafiki kumtembelea hata kama yuko karbu na mm. Mpaka sasa nina marafiki wawili tu ambao niko based nao kwa upande wa nyumban yaani mtaani ambao naweza kwenda mahala pao ama kuspend some areas with them ila wengine ote waliobaki ni kuwasalimia kwa salamu tu njiani bac

In short ni kwamba sina tabia ya kujichanganya na watu yaani marafiki ,niko radhi nikae ndani kutwa nzima.

Sabubu ambazo nimejaribu kuchunguza na kuziona kwangu ni kwamba. ''huwa napenda sana kukaa mahala tulivu especially alone'' pia huwa najikuta mtu ambaye nakua interested naye ni yule ambaye namuona anakitu ambacho kinaweza kuwa na mchango kwangu kwa kifupi ambaye ni mfanya biashara pia.

Sifuatilii KITU CHOCHOTE .
Sifuatilii mpira
Sifuatili ngumi, kuogelea ,basket wala mchezo wowote ule katika huu ulimwengu.

Kilichinileta humu ni mnisaidie niweze kujitambua kwamb mimi ni mtu wa aina gani? Huenda labda bdo cijajitambua bado wapendwa
Naombeni msaada wapendwa huenda siko sahihi kwa haya maisha ninayoishi....
Sijaona kama ni ajabu nikawaida sana na ni choice tu mwenyewe nipo hivyo kuhusu marafiki ninao wachache sana my rule "LESS FRIENDS LESS BULLSHIT" so sitaki marafiki kibao halafu uchwala

Mi napenda nature kutembea milimani au ziwan na nikichoka kusoma mkala za self development home basi napenda kutembea ya mguu huku nasikiliza music na kupiga picha za simu hasa sun set/Landscape.

Nikipata hela basi naingia zangu Hifadhini kurefresh basi ndio starehe yangu kubwa sana sishind bar au kwenye kumbi za starehe.
 
Back
Top Bottom