Mimi ni mtaalam wa Ms Office hasa Excel - Anayehitaji msaada please!!!!!!

Mimi ni mtaalam wa Ms Office hasa Excel - Anayehitaji msaada please!!!!!!

Trance M

Senior Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
183
Reaction score
37
Habari wakuu!

Nimekuwa nikifanya kazi na wazungu zinazohusisha matumizi ya excel 95% kwa zaidi ya miaka minne sasa. Kwa hiyo nipo vizuri sana kwenye spreadsheet.

Kazi zangu zilikuwa ni kutengeneza formula (Logical formula kama IF function and the like) ambazo zimekuwa zikirahisisha calculation na kuokoa mda na mali.

Nimehusishwa katika kazi kubwa za uthamini wa majengo katika Manispaa za hapa Dsm na kurahisisha kazi ambazo zingeigharimu manispaa zaidi ya 15m.

Huwezi amini nimekuwa nikifanya kazi hizo kwa muda mchache sana usiozidi siku moja kwa kutumia excel na kuweka taarifa katika weredi mkubwa.

Atakayekuwa interested na kazi zangu ani pm. Nitampa ushirikiano mkubwa!
 
Nataka kutengeneza formula ambayo niwe naingiza data iwe inatoa total tu inputs za ku sum up ni tatu.
 
Unaweza set reminders kwenye spreadsheet aidha kwa ku-link na outlook ili kila inapofika due date ya kitu fulani inanikumbusha? May be 2days before the due date inanipa alert?
 
Nataka kutengeneza formula ambayo niwe naingiza data iwe inatoa total tu inputs za ku sum up ni tatu.

inawezekana mkuu king kong. tena ni rahisi mno nipm tukutane nikufanyie kazi kwa mda mfupi sana na nitakuelekeza next time hutanitafuta tena.
 
Last edited by a moderator:
Unaweza set reminders kwenye spreadsheet aidha kwa ku-link na outlook ili kila inapofika due date ya kitu fulani inanikumbusha? May be 2days before the due date inanipa alert?

Indeed! In the past, i found planning and organising a challenge but i can now use outlook both in my mobile phone and desktop computer to synchronise my tasks. i found it very useful therefore saves my time and monies. Please send me a pm, we can do!
 
Safi Sana mkuu
Kwa ujumla umefanya vyema
Swali lilolenga kujua endapo akakufuata mtu ambaye hajuo Excel je utajitolewa kumkochi bure au umetangaza biashara
Asante kwa kushare nasi
 
Safi Sana mkuu
Kwa ujumla umefanya vyema
Swali lilolenga kujua endapo akakufuata mtu ambaye hajuo Excel je utajitolewa kumkochi bure au umetangaza biashara
Asante kwa kushare nasi
Unajua unamuuliza mtu aliyetoa Tangazo hili tangu 2013 mkuu?
 
Back
Top Bottom