Mimi ni mfungwa

Mimi ni mfungwa

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,462
Ukitaka kuifahamu familia ya Nyerere,waulize watu wa Butiama. Jana usiku nilikuwa naongea na watoto hapa Butiama nawauliza kwanini siku nyingi hawajafika nyumbani kwangu kunisalimu.

Kwanini.

In fact siku nyingi zimepita sijaona watoto wowote wamekuja kunisalimu.

Majibu yao yalikuwa quite illuminating. Wakaniambia wamesikia kwamba

1. Mimi in mental case ambaye naweza kuwanyonga nikawaua.

2. Kwamba imetokea in the past kwamba Mimi nilikuwa violent, nilipiga watu, ikabidi nifungiwe katika chumba na kurushiwa chakula humo ndani.

3. Kwamba watoto wa Mwalimu Nyerere, wachache wana akili timamu,lakini wengi wao ni mental.
 
Light travels faster than sound....
 
Uzi wako nmeusoma na kuelewa ila acha niongeze hili!
Hakuna viongozi wanafiki kama wa jembe na nyundo yaani wao kuutaka urais ndy wanammkumbka nyerere.....tena wanaenda kuhiji kwenye kiburi lake wakati huku mama Maria nyerere wamemuacha mbn hawaendi kumuona
 
sijui ametumia simu ya mchina kuandika, ngoja waje wengine
 
Back
Top Bottom