Nimemsikia aiseemsikilize kwa makinikia.... alikuwa anawauliza wapambe wake huku anageuka nyuma kuwaangalia.. wako wapi wale tuliowapanga? wapambe wakawa wanajiumauma hawana la kujibu NDIO AKATOKA NA JIBU ''nyie wapumbavu kabisa''
mumeo leo anaburutwa kwa pilato.. vipi utahudhuria?
Kesi ya kughushi vyeti iliyofunguliwa na Boniface Jacob dhidi ya Paul Makonda kuanza kusikilizwa leo
Jiheshimu
Ha ha haa, ninyi wapumbavu kabisa!Lugha gongana
"Wako wapi wale watu wako, w@pumb@vu kabisaaa" by jeipiemu.
mh Magufuli timua Hilo limamuluki ndani ya CCM.Alisema yeye ni katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Meru na i mmoja ya waliofanya kazi ya kumpitisha Nassari. Na akasema anarudi Chama cha mapinduzi maanaanachofanya JPM ndicho mioyo yao ilitaka.
Wapumbavu wakina mgambo na wenzake.Ha ha haa, ninyi wapumbavu kabisa!
Angalia ni dk ya ngapi hapo kwenye picha hapo juu then uangalie kwenye hii video hapa uyo mzee akizungumza. Video ni ndefu mno ina masaa manne
Huyu mtu ktk mkutano wa Magufuli kule Arusha jana 23 September anayeitwa Elrehema Ndelekwa Ayo,.
Alisema yeye ni katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Meru na i mmoja ya waliofanya kazi ya kumpitisha Nassari. Na akasema anarudi Chama cha mapinduzi maanaanachofanya JPM ndicho mioyo yao ilitaka.
Sasa nashangaa, anasema yeye ni katibu mwenezi wa ccm alafu wakati huo huo anasema anarudi ccm, sasa nashindwa kuelewa hapa.
UVCCM tujuzeni hapa
Unawezaje kutenganisha rushwa iliyotolewa na chama ama serikali na kiongozi wa chama chenyewe?Michezo mingine wala si ya kufikiri mara mbili unapata jibu.Nasubiri ushahidi aliodai nasari anao kuhusu kupewa rushwa hao madiwani najua mkuu hatakuwa na huruma kama walirudi ccm kwa rushwa hawana bahati maana Mh.JPM hana urafiki na rushwa ndani ya chama chake na serekali yake na namwamini sana subirini wateule watoa rushwa watakavyo nyooshwa kwa pasi ya mato.
Angalia ni dk ya ngapi hapo kwenye picha hapo juu then uangalie kwenye hii video hapa uyo mzee akizungumza. Video ni ndefu mno ina masaa manne
Huyu mtu ktk mkutano wa Magufuli kule Arusha jana 23 September anayeitwa Elrehema Ndelekwa Ayo,.
Alisema yeye ni katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Meru na i mmoja ya waliofanya kazi ya kumpitisha Nassari. Na akasema anarudi Chama cha mapinduzi maanaanachofanya JPM ndicho mioyo yao ilitaka.
Sasa nashangaa, anasema yeye ni katibu mwenezi wa ccm alafu wakati huo huo anasema anarudi ccm, sasa nashindwa kuelewa hapa.
UVCCM tujuzeni hapa
hawajielewi hao lumumbaMaigizo ya CCM.
Ni wapumbavu kama anavyosema M/kiti wao.hawajielewi hao lumumba
mwenyekiti wao analazimisha kupendwa...hahaa...Ni wapumbavu kama anavyosema M/kiti wao.