chuchumeta3
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 237
- 87
Napita
Ile clip ni hatari mzee yani imemvua nguo zote,aibu aibu,usishangae kesho kusikia mzee kijana katibu mwenezi akaita press akasema ile video ime editiwa sauti ili kumchafua mwenyekiti wake.
Angalia ni dk ya ngapi hapo kwenye picha hapo juu then uangalie kwenye hii video hapa uyo mzee akizungumza. Video ni ndefu mno ina masaa manne
Huyu mtu ktk mkutano wa Magufuli kule Arusha jana 23 September anayeitwa Elrehema Ndelekwa Ayo,.
Alisema yeye ni katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya Meru na i mmoja ya waliofanya kazi ya kumpitisha Nassari. Na akasema anarudi Chama cha mapinduzi maanaanachofanya JPM ndicho mioyo yao ilitaka.
Sasa nashangaa, anasema yeye ni katibu mwenezi wa ccm alafu wakati huo huo anasema anarudi ccm, sasa nashindwa kuelewa hapa.
UVCCM tujuzeni hapa
Hawa waliosoma kisomo wanamfanyia jamaa kitu mbaya maana amepoteza akili kabisaAlbadir ishaanza kuwatafuna....
Huyo naye anasema lwake, kuwa yeye ndiye Katibu mwenezi wa CCM waliofanya kazi kubwa ya kumwingiza huyo ndugu Nasari huko CCM!
Na bosi wake hapo Jana "ameropoka" kuwa sukari ameikuta shilingi 5,000!
Sijui ni lini katika karne hii aliikuta sukari inauzwa kwa bei hiyo??
Zambi humrazmisha mtu muovu kusema uongo kwa kuzani anasema ukweli,hayo ndo matokeo ya laana bado siku zaja mtaskia ni lini sukari irifika 3000 ka c yy aloleta hiyo bei mpaka huko kwenye 5000 MUNGU skikuchukia mengi utaropoka kwakuwa unaelekea kuwa zuzu kwa matendo yako mabaya.Albadir ishaanza kuwatafuna....
Huyo naye anasema lwake, kuwa yeye ndiye Katibu mwenezi wa CCM waliofanya kazi kubwa ya kumwingiza huyo ndugu Nasari huko CCM!
Na bosi wake hapo Jana "ameropoka" kuwa sukari ameikuta shilingi 5,000!
Sijui ni lini katika karne hii aliikuta sukari inauzwa kwa bei hiyo??
Kwamba mtu ahamie ccm toka chadema na apewe wadhifa wa ukatibu mwenezi, hiyo ni ndoto. Unajaribu kupindisha kile kilichopo ili kuzuga tuu. Pale Polepole alishindwa kumsaidia namna ya kuzungumza kile walipanga. Uongo iko kwenye amri kumi na ni jambo baya sana kusema uongo. Huyo kaikumbuka amri hiyo akiwa paleKwani nilisema sijaiona!? Nikipata muda nitaipitia
Nimependa ulivyoongezea habari ila umepoteza muda wako kwasababu haukuelewa.. sikutaka kukuambia hilo bila wewe kuweka kideo cja youtube.. usingekalia maneno ungeyameza hata kufikiria kwanini alitamka hayo unayotaka kupindisha.. ila kumbuka yeye ni CCM tangu siku alikimbia chama kichovu na sio juzi.. na pia amepewa cheo alipohamia na ndio alikitaja.. sasa rudia wewe kumsikiliza.
Hahaha. Wapumbavu kabisa... Dah dahNimeona hiyo "wako wapi watu wako"
Tuna safari ndefu kwa hali hiyo mkuu!
Kwamba mtu ahamie ccm toka chadema na apewe wadhifa wa ukatibu mwenezi, hiyo ni ndoto. Unajaribu kupindisha kile kilichopo ili kuzuga tuu. Pale Polepole alishindwa kumsaidia namna ya kuzungumza kile walipanga. Uongo iko kwenye amri kumi na ni jambo baya sana kusema uongo. Huyo kaikumbuka amri hiyo akiwa pale
Sasa kama yeye teyari ni katibu mwenezi, nini kilimpeleka pale kama siyo kiki?Kwani nilisema sijaiona!? Nikipata muda nitaipitia
Nimependa ulivyoongezea habari ila umepoteza muda wako kwasababu haukuelewa.. sikutaka kukuambia hilo bila wewe kuweka kideo cja youtube.. usingekalia maneno ungeyameza hata kufikiria kwanini alitamka hayo unayotaka kupindisha.. ila kumbuka yeye ni CCM tangu siku alikimbia chama kichovu na sio juzi.. na pia amepewa cheo alipohamia na ndio alikitaja.. sasa rudia wewe kumsikiliza.
Ndo nilichoona pia ila akaona picha lisivurugweMimi sikumuelewa alafu niliona kama polepole alitaka kumstua ila ikawa too late, pole pole akabaki kukenua meno tu
msikilize boss wako anavowatukana wasaidizi wake hapo nyuma yakeUngeweka na kipande cha kideo
Sio kuandika maneno yako..
Rudi ukamsikilize tena uelewe.
msikilize boss wako anavowatukana wasaidizi wake hapo nyuma yake
sikilize vizuriHapa alitukana wale watu Waliohongwa kuja kujitangaza wanahamia ccm
msikilize kwa makinikia.... alikuwa anawauliza wapambe wake huku anageuka nyuma kuwaangalia.. wako wapi wale tuliowapanga? wapambe wakawa wanajiumauma hawana la kujibu NDIO AKATOKA NA JIBU ''nyie wapumbavu kabisa''Hapa alitukana wale watu Waliohongwa kuja kujitangaza wanahamia ccm
Kesi ya kughushi vyeti iliyofunguliwa na Boniface Jacob dhidi ya Paul Makonda kuanza kusikilizwa leoHapa alitukana wale watu Waliohongwa kuja kujitangaza wanahamia ccm
mumeo leo anaburutwa kwa pilato.. vipi utahudhuria?Mwacheni mwenzenu na cheo chake.
Yaani Pole Pole naye alikuwepo kwenye hiyo shughuli ...............!!?Mimi sikumuelewa alafu niliona kama polepole alitaka kumstua ila ikawa too late, pole pole akabaki kukenua meno tu