Mimi ni interior designer, mambo ya mapazia sofa

Mimi ni interior designer, mambo ya mapazia sofa

Nimeandika kwa kiswahili kilichonyooka kwamba sina mashaka na kazi yako ya upambaji ila kujiita Interior Designer ndo kuna uwalakini kidogo!

sikuizi fundi masonry site huwa anaitwa "Engineer". watu hawaheshimu taaluma za watu.
 
sikuizi fundi masonry site huwa anaitwa "Engineer". watu hawaheshimu taaluma za watu.

Nadhani ndilo nililotaka huyu bwana mkubwa aweke sawa unless aje hapa aseme amesoma wapi hiyo fani wenzie wanayoisoma Chuo kikuu cha ARDHI na kwingineko ambao kwa heshima ya taaluma ndio wanastahili kuitwa ma Interior Designer!
 
Nafanya vipimo alafu ndio naweza kukuambia bei Mkuu
Hizo poles wengi wanauza kwa mita. Sio lazima uje kwangu kupima sema unauza mita moja tzs ngapi mimi nitakwambia nahitaji pieces ngapi za mita fulani.
 
Hiyo Tittle uliyojipa ni kubwa sana wenzio wanaisotea miaka mitano,kwa usahihi ulipaswa kusema wewe ni mpambaji!
Hata kama hujasoma ukijua hata kufunga wiring we ni fundi umeme, kwahyo jamaa kama anafanya kazi za interior design basi na yeye ni designer vilevile, kosa ni kama angetaja kiwango cha elimu ambacho hana.
 
tatizo mnatufanyia bei kama za kununua Boeing..
 
Nadhani ndilo nililotaka huyu bwana mkubwa aweke sawa unless aje hapa aseme amesoma wapi hiyo fani wenzie wanayoisoma Chuo kikuu cha ARDHI na kwingineko ambao kwa heshima ya taaluma ndio wanastahili kuitwa ma Interior Designer!

We jamaa potelea mbali, tatizo umekariri, i doubt hata elimu yako kama imekusaidia chochote.

Anafanya Interior designing unataka ajiite nani sasa? Ati mpambaji, we jamaa umechanganyikiwa?

Hehehe, watanzania wengine msijaribu kuchanganya mambo, mtu kua vizuri kwenye profession flani si lazima aende darasani, tena profession yenyewe kama hii ya designing ni uzoefu tu. Wangapi wamesomea interior designing hawana kazi wamekaa na hawana experience yoyote. Jamaa anafanya the same job unataka tumuite jina tofauti kwa kua tu hajataja chuo alichosomea. Umeambiwa ni udaktari au uanasheria huu?
 
We jamaa potelea mbali, tatizo umekariri, i doubt hata elimu yako kama imekusaidia chochote.

Anafanya Interior designing unataka ajiite nani sasa? Ati mpambaji, we jamaa umechanganyikiwa?

Hehehe, watanzania wengine msijaribu kuchanganya mambo, mtu kua vizuri kwenye profession flani si lazima aende darasani, tena profession yenyewe kama hii ya designing ni uzoefu tu. Wangapi wamesomea interior designing hawana kazi wamekaa na hawana experience yoyote. Jamaa anafanya the same job unataka tumuite jina tofauti kwa kua tu hajataja chuo alichosomea. Umeambiwa ni udaktari au uanasheria huu?

Hujambo lakini? Wazima nyumbani?
 
Nimependa kazi yako nzuri sana nitakutafuta mkuu mambo yakikaa sawa
 
c576fea8fec3dba15fc5fac59f105893.jpg
327ad67c1edc9acb3bd201d161d690d7.jpg
184ba0a576cc2d1adaafdfe8d60d8d13.jpg
1b870a1958cf7ad206d588e6ff389778.jpg
dc0df56e090d81acf44cf41c092ac4a5.jpg
bc377c85fb0d277097e1a19bda50c6f9.jpg
fb097adbdad3e41f530d5056c0c5f156.jpg
8f4632971674e868fed80ebce1bfb326.jpg
mobile
 
Back
Top Bottom