Mimi ni interior designer, mambo ya mapazia sofa

Mimi ni interior designer, mambo ya mapazia sofa

Designer hebu atleast sema hata bei ya makadirio kuwa unarange kuanzia kiasi flani (kima cha chini) nisijekukuita na vihela vya mawazo nikaishia kujitia aibu..... Please kama hautajali
Uwezi kukadiria, au ww kadiria ukubwa wa dirisha lako then ndo naweza kukadiria mm, yaan niambie ukubwa wa dirisha lako. Fanya hv pima urefu toka mwisho wa dirisha hadi chini (floor) na upana mwshi wa dirisha hadi side mwingine
 
Uwezi kukadiria, au ww kadiria ukubwa wa dirisha lako then ndo naweza kukadiria mm, yaan niambie ukubwa wa dirisha lako. Fanya hv pima urefu toka mwisho wa dirisha hadi chini (floor) na upana mwshi wa dirisha hadi side mwingine
Okay ahsante, basi nasave namba nikakujulisha
 
Hau
Siombi kazi, haina haja ya kujua nimesomea wapi nimetuma picha ili uone kazi yenyewe.
Hauombi kazi? seriously? Sasa hili bango la kazi gani?!...duh!
Interior design ni profession, siyo kuuza mapazia na masofa ukajiita interior designer.
 
Hau

Hauombi kazi? seriously? Sasa hili bango la kazi gani?!...duh!
Interior design ni profession, siyo kuuza mapazia na masofa ukajiita interior designer.
Mwache mwenzio atafute riziki kwa jasho lake. Kwani kamuibia mtu? Kazi yake nzuri hata kama hajasoma. Wewe unataka uzuri wa kazi au cheti chenye first ?
 
Mwache mwenzio atafute riziki kwa jasho lake. Kwani kamuibia mtu? Kazi yake nzuri hata kama hajasoma. Wewe unataka uzuri wa kazi au cheti chenye first ?

Huyu ni mtumwa. anayeekaa darasani miaka 20 lakini hata kubuni mswaki tu hajui. ni mpuuzi wa kuupuuzwa maana anadhani elimu lazima ulundikike mikaratasi ndani ila ubunifu 0
 
fee1ccc23c92e83ac8c96c16bbd31622.jpg
Ntakutafuta nimehamasika.
 
Hiyo Tittle uliyojipa ni kubwa sana wenzio wanaisotea miaka mitano,kwa usahihi ulipaswa kusema wewe ni mpambaji!
 
Back
Top Bottom