Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
Habari wana jamvi,ki ukweli TBC wamepoteza uelekeo na maana ya kuanzishwa kwao.Ila kuna azina ya waandishi na watangazajia ambao wapo nao,mmoja wao ni huyu mtangazaji wa mkoa wa Mara Mr Greyson Kakulu,kama ni kipaji basi jamaa anacho