johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,697
- 143,123
Nimemsikia mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku aka Msukuma akisema wao wote mle Bungeni ni Wabunge wa kuchaguliwa waliopatikana kihalali 2020
Msukuma akasisitiza Kuwa Bungeni hakuna Mbunge wa Mchongo
Mimi Johnthebaptist mpiga kura wa Kawe na nyumbani kwetu Iringa mjini namkatalia kabisa Msukuma
Mungu wa Mbinguni awabariki!
Msukuma akasisitiza Kuwa Bungeni hakuna Mbunge wa Mchongo
Mimi Johnthebaptist mpiga kura wa Kawe na nyumbani kwetu Iringa mjini namkatalia kabisa Msukuma
Mungu wa Mbinguni awabariki!