Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
Sasa hivi una umri gani?
Kama hujafika hata miaka 40; Basi kwanza omba MUNGU japo ufike hapo! Je, una Dini? Mwongozo gani umepata kuhusu haya maisha tunayoishi na nini lengo la sisi kuumbwa? Tafakari kwanza?
 
Ukitaka kujua kiini cha mada kama hizi cha kwanza angalia muda aliopost
 
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
Kila binadamu huishi na imani hiyo uliyo nayo, hakuna anayeamini kuwa iko siku atakufa, tunajipa uspesho fulani hivi. Lakini vifo vinatokea tu, so inawezekana nawe leo ndo last day yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utakufa tuu mkuu labda kama unazungumza katika roho!
 
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
NDOTO za mchana alafu ukiwa umepuliza bangi na mirungi hazita muacha mtu salama.
 
Unapaswa kumuona daktari bingwa wa magonjwa ya akiri wala usipuuzie mkuu, mpaka umefikia kuazisha thread ya aina hii inaashiria tatizo kubwa kichwani mwako.
 
Unaweza ukawa wa kwanza vile vile katika agemates yako..kifo kabla ya miaka 80 ni ajari,ila kuanzi kuanzia miaka 80 ni muda wa kujiandaa kufa.sababu oksijeni uliyovuta imekua sumu ambayo haiwezi kutibika
 
Back
Top Bottom