Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

Mimi ni binadamu wa mwisho kufa duniani

Kuna ndoto, maono ,unabii na utabiri kati ya hayo tutumie lipi una ndoto una maono au unajitbiria sasa Haya yote huongozwa na nguvu mbili ya kwanza ni nguvu ya ki Mungu (roho mtakatifu) au nguvu za shetani yaani mizimu na ulozi kwa wewe unayepost thread kama hii jipeleleze usijeongozwa na shetani na kutoa makufuru uhai wako unauweka rehani.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
Pamoja na hizo ndoto zako nzuri za mchana sawa ila kumbuka kuwahi mapema nikuuzie jeneza lako la kisasa kabisa ili siku ukifa ujizike vizuri maana utakuwepo peke yako duniani hivyo hakutakuwa na mtu wa kukuuzia jeneza hivyo wahi ntakupunguzia bei hasa ukichukua mawili.
 
Ni tatizo la afya ya akili tangu ukiwa mdogo, uwezekano mkubwa ulikuwa ukihudhuria au kushuhudia misiba utotoni na ukajenga hofu ya kifo. Kamwone daktari wa magonjwa ya akili.
 
Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .


Yangu ni hayo tu .
Huo ni woga wa kufa. Inaonyesha unaogopa kufa. Haisaidii kuogopa kufa. Bora utafute vitu vya kufanya. Siku yako ya kufa hutoijua wala hutoikumbuka. Usipoteze Muda kuwaza kufa. Furahia Pumzi uliyonayo na uitumie to your best. The rest is not for you to decide. Only Time will tell


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu jaribu kunywa sumu ya panya au jiselfishe ukiwa unajinyonga halafu picha utume huku tujaribu kujadiliana kama ndio mwisho wa dunia au laa.
 
Nashindwa kusema ni kwa nini ila tangu nipo mtoto mpaka leo naamini nitakuwa mtu wa mwisho kutolewa uhai

kuna siku niliwahi kuwaza itakuaje dunia nzima wakafa halafu nikabaki mimi mwenyewe?
Utakuwa unasumbulia na aina fulani ya ugonjwa wa akili, ndio unaokupelekea kuwaza hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom