Farwesttz
Member
- Jul 17, 2021
- 43
- 55
Nikweli utakuwa wa mwisho kufa maana usisahau pia ulikuwa binadamu wakwanza kwenye hii sayari mkuu. Hisia za mtu ziheshimiwe.Nina imani kubwa sana tangu ni ngali mtoto mdogo kuwa nitakuwa binadamu wa mwisho kabisa kufa au ikiwezekana kutokufa kabisa .
Yangu ni hayo tu .