Mimi nataka ndoa, yeye anataka shule

Mimi nataka ndoa, yeye anataka shule

Pastor anahusika. Alafu unasema amehokoka. Kumbe ww bado hujui mambo ya dunia. Mapastor ndiyo wanaopiga mizigo mizuri coz wanahela. Utaachiwa manyoya
 
Mm mwenyewe natafuta binti Model lkn tayari aliyesoma asiyembinafsi atakayeniridhisha vilivyo
 
Kuna mambo mengine ni ya kipumbavu mno! Mtu keshakwambia wazi, "kama unaona nakuchelewesha tafuta mwingine uoe " wewe bado umevimbisha tu mbichwa wako kumsubir! Hiv nyie wavulana mtakua lini?
 
Udom nn huoni mnatofautiana kimalengo hapo ww.

Halafu suala la kumsomesha mtoto ni jukumu la mzazi sio mchumba labda ndugu wangemsomesha.

Hataki usumbufu tafuta mwingine oa yaani unataka kulia lia mtandaoni bure tu.
 
mkuu anaishi kwa pastor, so, mama mchungaji anajua pia, na huyo pastor kashawahi kuwasaidia wengi kuwasomesha
na najua she is very decent, i trust her, ameokoka, akili inasizi sometimes... but i can let her go..
Saka mwingine kiongozi, wapo wengi mno. Mshirikishe Mungu, hii game ya kutafuta mwenza ni ngumu sanaaaa...I can feel you man!!
 
Kuna mambo mengine ni ya kipumbavu mno! Mtu keshakwambia wazi, "kama unaona nakuchelewesha tafuta mwingine uoe " wewe bado umevimbisha tu mbichwa wako kumsubir! Hiv nyie wavulana mtakua lini?
hahahaha mkuu mkuu asante sana
 
unataka kusema huwezi kumpenda ambae hajasoma?
Naweza mana mapenzi popote japo mwanamke ukiwa umemzidi elimu mume inabd ufanye bidii sana aone unajishusha zaid kwake,kitu ambacho km mwanaume kakuzidi elimu sio cha lazma sana mana by default heshima kwake ipoo
 
Toka nduki mkuu, japo atakukumbuka sana! Ila achana nae mkuu! Hatutaki uje na kilio hapa kama wengine! Waliowasomesha madem zao na wakatoswa vile vile, alafu nahisi huko peke yako! Wewe ni kidum tu
 
Pastor anahusika. Alafu unasema amehokoka. Kumbe ww bado hujui mambo ya dunia. Mapastor ndiyo wanaopiga mizigo mizuri coz wanahela. Utaachiwa manyoya


Ha ha haaaa et ataachiwa manyoya
 
Lakini si alishakuambia kuwa kama unaona anakuchelewesha utafute mwingine uoe? Huyo alikupenda kwa sababu ya shida na alipokupima akakuona huna sifa za kuwa mume wake endapo sema kwa kuwa tu hakuwa na elimu ndio maana unaweza kuwa nae kwenye uhusiano. Alichotaka kwako sio mapenzi wala ndoa ila msaada wa elimu ili ampate mwenye viwango anavyoona vinastahili. Tafuta anaekupenda na mwenye elimu na kujitambua.
 
Back
Top Bottom