Achana naye huyo. Kukuambia tafuta mwingine naye mwisho wa siku atakuambia nimepata mwingine!Habari zenu mabibi na mabwana!
Nina mchumba wangu mrembo sana,tulikutana mwaka uliopita, sasa kutokana na familia yake hakupata nafasi ya kusoma aliishia darasa la saba kutokana na kutengana kwa wazazi wake,alimaliza muda mrefu akaendelea kutafuta maisha tu, mimi nina miaka 27 najua hatupishani sana umri na yeye! aliniambia anatamani sana kusoma na angependa kusoma angalau mpaka kidato cha nne ndipo nimuoe, nikamwambia nimuoe tu halafu atasoma tukiwa tayari kwenye ndoa, akasema hawezi kusoma akiwa na mimba, sasa katika kuendelea nikashtukia ananiambia pastor kajitolea kumsomesha na akaanza masomo ya QT, elimu yangu degree
Tukaendelea na maisha,sasa akawa yuko busy sana mpaka akawa anaona kumpigia simu ni kumsumbua, mara hapokei simu akidai yuko busy! okay! sasa hataki kuzungumzia mambo ya uhusiano na juzi kaniambia kama naona ananichelewesha nitafute mwingine wa kuoa!
malengo yangu yalikuwa ni kuoa mwaka huu ikishindikana sana mwakani! sitaki kufika 30 sijaoa,
sasa naona mwenzangu hana mpango tena wa ndoa hata mwakani!
sasa je, niachane nae nitafute mwingine au nimsubiri mpaka atakapoona inafaa? mwenzangu kabadilika
he he he he he promo at work....Achana naye huyo buana... halafu Si unioe mimi tu mkuu au watoto wa kagame hatufai kuwa wife material?
Uhusiano na binti anaesoma tena unaemsaidia katika masomo yake ili aje awe mkeo kunahitaji akili ya mwendawazimu. Ni kujipotezea muda, pesa na kujikosesha warembo sahihi na stahiki wa kuoa. Mkuu kama yeye anasoma, moango wako wa kumuoa achana nao kabisa na tafuta tu mwingine.Habari zenu mabibi na mabwana!
Nina mchumba wangu mrembo sana,tulikutana mwaka uliopita, sasa kutokana na familia yake hakupata nafasi ya kusoma aliishia darasa la saba kutokana na kutengana kwa wazazi wake,alimaliza muda mrefu akaendelea kutafuta maisha tu, mimi nina miaka 27 najua hatupishani sana umri na yeye! aliniambia anatamani sana kusoma na angependa kusoma angalau mpaka kidato cha nne ndipo nimuoe, nikamwambia nimuoe tu halafu atasoma tukiwa tayari kwenye ndoa, akasema hawezi kusoma akiwa na mimba, sasa katika kuendelea nikashtukia ananiambia pastor kajitolea kumsomesha na akaanza masomo ya QT, elimu yangu degree
Tukaendelea na maisha,sasa akawa yuko busy sana mpaka akawa anaona kumpigia simu ni kumsumbua, mara hapokei simu akidai yuko busy! okay! sasa hataki kuzungumzia mambo ya uhusiano na juzi kaniambia kama naona ananichelewesha nitafute mwingine wa kuoa!
malengo yangu yalikuwa ni kuoa mwaka huu ikishindikana sana mwakani! sitaki kufika 30 sijaoa,
sasa naona mwenzangu hana mpango tena wa ndoa hata mwakani!
sasa je, niachane nae nitafute mwingine au nimsubiri mpaka atakapoona inafaa? mwenzangu kabadilika
Teh!teh!teh!......kumbe baada ya kusomeshwa huwa wanaomba msamaha!!!Sasa. C ushukuru hujamsomesha huyo alitaka slope umsomeshe baadae akuombe msamaha fanya yako sa hv huyo c wako tena
Eti ni mrembo!Yani degree holder unataka kuoa mtu wa la saba,na tena bado anakudrive craizy?pathetic

mkuu kuna mapastor was sehemu nyingi kumbehuyo pastor atakua sio wa kanisa niamini mimi
ha ha ha huwajui enhee utasikia nsamehe sana ni shetan tu kanipitia na kitumbo mbwii mbeleTeh!teh!teh!......kumbe baada ya kusomeshwa huwa wanaomba msamaha!!!