Digrii holder unakuwa kama hujasoma Piga chini tafuta njia nyingine wewe Sio loan bord
Mke mwema hutoka kwa BwanaYani degree holder unataka kuoa mtu wa la saba,na tena bado anakudrive craizy?pathetic
Mkuu kama wa kwangu ananikomalia aende degree licha ya kuwa nilimvumilia kasoma certificate hadi diploma ualimu..[emoji15]Habari zenu mabibi na mabwana,
Nina mchumba wangu mrembo sana, tulikutana mwaka uliopita, sasa kutokana na familia yake hakupata nafasi ya kusoma aliishia darasa la saba kutokana na kutengana kwa wazazi wake, alimaliza muda mrefu akaendelea kutafuta maisha tu, mimi nina miaka 27 najua hatupishani sana umri na yeye.
Aliniambia anatamani sana kusoma na angependa kusoma angalau mpaka kidato cha nne ndipo nimuoe, nikamwambia nimuoe tu halafu atasoma tukiwa tayari kwenye ndoa, akasema hawezi kusoma akiwa na mimba, sasa katika kuendelea nikashtukia ananiambia pastor kajitolea kumsomesha na akaanza masomo ya QT, elimu yangu degree.
Tukaendelea na maisha,sasa akawa yuko busy sana mpaka akawa anaona kumpigia simu ni kumsumbua, mara hapokei simu akidai yuko busy! okay! sasa hataki kuzungumzia mambo ya uhusiano na juzi kaniambia kama naona ananichelewesha nitafute mwingine wa kuoa.
Malengo yangu yalikuwa ni kuoa mwaka huu ikishindikana sana mwakani! sitaki kufika 30 sijaoa,sasa naona mwenzangu hana mpango tena wa ndoa hata mwakani! Sasa je, niachane nae nitafute mwingine au nimsubiri mpaka atakapoona inafaa? Mwenzangu kabadilika.
We mtoto wa kagame nakutamaniAchana naye huyo buana... halafu Si unioe mimi tu mkuu au watoto wa kagame hatufai kuwa wife material?
Mbona mie nilikusomesha ingawa sikukuoa? Au statement yako inamaanisha nn binti?Mchumba hasomeshwi..... Anakuepushia kilio cha baadae achana nae
Za wa darasa la 7 huwaga tamu sana maana hazijawa too much used huko vyuoni😛😛😛😛😛Yani degree holder unataka kuoa mtu wa la saba,na tena bado anakudrive craizy?pathetic
We si ulinisomesha twisheni tu, sio full adaMbona mie nilikusomesha ingawa sikukuoa? Au statement yako inamaanisha nn binti?
Inamaana ile laki sita na sabini siku zile ilikua ya twisheni mama.. 😱😱😱We si ulinisomesha twisheni tu, sio full ada
Yes yes, ili wakakifanyie editing upya tu sasa maana hakuna namna!Hakika pastor "anamsomesha"... kama huajaelewa hapo, rudisha hicho cheti chako chuoni.
siyo kirahisi mkuu, imagine kuna mwingine ananibembeleza nimuoe lakini sina interest nae, na ni mzuri tu wa kuonekana katikati ya wengi na ana kazi yake..Kubali yaishe bro..huna chako apo
mkuu anaishi kwa pastor, so, mama mchungaji anajua pia, na huyo pastor kashawahi kuwasaidia wengi kuwasomeshaHakika pastor "anamsomesha"... kama huajaelewa hapo, rudisha hicho cheti chako chuoni.
Words,Kwanin ujiwekee limitations? Unasema unataka kuoa kabla hujafika 30, una ahadi na Mungu? Una uhakika utapata ndoa bora ukilazimisha kuoa sasa hivi?
Kwanin usijiachie? Kuanza upya sio vibaya. Tafuta mwingine ujipange naye,.
Kulazimisha ndoa ni ujinga.