Mimi nataka ndoa, yeye anataka shule

Mimba, nikitu kinapangwa. tatizo lako unataka umpe mimba akiwa bado anasoma kwa imani yako kuwa hawezi kukukimbia. Ungempa nafasi asome miaka miwili siyo mingi. kwa elimu yake na yako vigumu kweli mkaelewana mawazo. mwanamke huwa hakosei wewe ndo unakosea. tatizo niwewe na mawazo yako ya kukosa. Mwanamke uliyempenda kwa dhati anadi shule tena Q.T. mpaka zengwe ! ! ! je? angetaka kwenda elimu ya juu ingekuwaje? ? Mapenzi ni gharama, yapaswa umteende mwanamke ajue kuwa hapo alipo kafikishwa nanani.
 
Yani degree holder unataka kuoa mtu wa la saba,na tena bado anakudrive craizy?pathetic
love haina elimu mkuu, ukimuona IQ yake ni tofauti na elimu yake, ni mzuri kichwani pia
 
Mkuu kama wa kwangu ananikomalia aende degree licha ya kuwa nilimvumilia kasoma certificate hadi diploma ualimu..[emoji15]
 
Hivi hapo hujaelewa nini Jamani?au ndio utaki kukubali matokeo kuwa huyo hana mpango na wewe?
hivi wanawake mkoje??? hapo ni kwa sababu kajua nampenda sana, hajui kwamba nina uwezo wa kuachana nae kabisa
 
Yani degree holder unataka kuoa mtu wa la saba,na tena bado anakudrive craizy?pathetic
Za wa darasa la 7 huwaga tamu sana maana hazijawa too much used huko vyuoni😛😛😛😛😛
 
Hakika pastor "anamsomesha"... kama huajaelewa hapo, rudisha hicho cheti chako chuoni.
 
Kubali yaishe bro..huna chako apo
siyo kirahisi mkuu, imagine kuna mwingine ananibembeleza nimuoe lakini sina interest nae, na ni mzuri tu wa kuonekana katikati ya wengi na ana kazi yake..
mkuu life is viceversa sometimes
i am in prayers
 
Hakika pastor "anamsomesha"... kama huajaelewa hapo, rudisha hicho cheti chako chuoni.
mkuu anaishi kwa pastor, so, mama mchungaji anajua pia, na huyo pastor kashawahi kuwasaidia wengi kuwasomesha
na najua she is very decent, i trust her, ameokoka, akili inasizi sometimes... but i can let her go..
 
Words,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…