Mimi nataka ndoa, yeye anataka shule

Achana naye huyo. Kukuambia tafuta mwingine naye mwisho wa siku atakuambia nimepata mwingine!
 
Kwanin ujiwekee limitations? Unasema unataka kuoa kabla hujafika 30, una ahadi na Mungu? Una uhakika utapata ndoa bora ukilazimisha kuoa sasa hivi?
Kwanin usijiachie? Kuanza upya sio vibaya. Tafuta mwingine ujipange naye,.
Kulazimisha ndoa ni ujinga.
 
Uhusiano na binti anaesoma tena unaemsaidia katika masomo yake ili aje awe mkeo kunahitaji akili ya mwendawazimu. Ni kujipotezea muda, pesa na kujikosesha warembo sahihi na stahiki wa kuoa. Mkuu kama yeye anasoma, moango wako wa kumuoa achana nao kabisa na tafuta tu mwingine.
 
Sijui vijana wa hii karne tumejazwa nini vichwani. Mtu jana tu kaja na Uzi wa kusomesha na kupigwa china, kenge nyingine inaomba ushauri hapa. Em shtuka bana tafuta mwingine mbona wapo wengi tu.
 
Digrii holder unakuwa kama hujasoma Piga chini tafuta njia nyingine wewe Sio loan bord
 
kamata mwingine...
au tukufundishe uwindaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…