Mchaga wa ukwel
Member
- Jul 16, 2011
- 26
- 1
Baada ya madaktari bingwa wa akili kushughulika na wagonjwa wao kwa mda mrefu,hatimae wakapata nafuu. Siku moja madaktari wakawakuta wako nje wanawika kama jogoo...kokolikoooh.., lakin mmoja wao alikua kimya madaktari wakadhan yeye ndo kapona. Wakamuuliza mbona hufanyi kama wenzako? Akajibu..sshhhii...mimi nataga..