Emily magnus
JF-Expert Member
- Apr 7, 2026
- 821
- 1,501
Kitabu ninacho hiki. Mpaka sasa kipo nyumbani.Hingera mleta mada, haukosi mengi mazuri yanayo panua upeo .
Nafikiri tulikua sawa kabla maisha hayajaingiliana , kipindi kile tupo shule wenzangu wakienda break mi nabaki darasani na kitabu changu haswa biblia haswa kitabu hikiView attachment 3593414
Me nnacho, walipewaga dada zangu, ila ni wakatoliki.Nilikisoma Enzi hizo
We ni mlutheri?
Me ninavyo viwili, walipewa dada zangu wakiwa kwenye mafundisho ya ubatizo sijui kipaimara. Ila ni wakatoriki.Nilikisoma Enzi hizo
We ni mlutheri?
Cha zamani sanaMe nnacho, walipewaga dada zangu, ila ni wakatoliki.
Wape watoto hapo karibu kama zawadiMe ninavyo viwili, walipewa dada zangu wakiwa kwenye mafundisho ya ubatizo sijui kipaimara. Ila ni wakatoriki.
Yeah mkuuChakula ya ubongo
Kabisa mkuu. Siku zote ukiona kitu kinapingwa na wengi, basi tambua kuwa kina faida lukuki.Kuna kipindi niliamua kuacha, nilikaa kama wiki hivi, nikaona maisha yananiendea mrama! Ndo nikagundua kumbe baraka ninazopataga huwa zinatokana na nyeto zangu.
Sioni mtoto hata mmoja mwenye hofu ya mungu.Wape watoto hapo karibu kama zawadi
How?Sioni mtoto hata mmoja mwenye hofu ya mungu.
Sio sana mkuuUtakuwa na maarifa na taarifa nyingi sana.
Yaani hata mwanamke ntaye kuja kuoa, akinikataza kunyetuka.. Nampa talaka tatu.Kabisa mkuu. Siku zote ukiona kitu kinapingwa na wengi, basi tambua kuwa kina faida lukuki.
"Mti wenye matunda matamu hupigwa mawe", by.....
Kabisa yaani! Ipende, iheshimu, na itangaze punyeto kwa watu wa mataifa mbalimbali.Yaani hata mwanamke ntaye kuja kuoa, akinikataza kunyetuka.. Nampa talaka tatu.
Ila nitatafuta wanaoweza kuvitunza vizuri niwape, maana wanaweza pata chochote kitu wakisoma.How?
Me kama nnachosoma kinavutia, kama simulizi, umbeya, meseji za mahaba n.k.. Akili haichoki. Tena huwa natamani kisiishe.Hongera dear mimi kusoma mavitu malefu sana siwezi aisee ubongo wangu unawahi kuchoka
Ni kweli.wengi mpo hivyoHongera dear mimi kusoma mavitu malefu sana siwezi aisee ubongo wangu unawahi kuchoka 😅
na kuandika je ?Cha tatu movie na mziki.vingine vitafuatia.
Mie Niko addicted na kusoma tangu Niko mdogo hata kabla sijaanza shule.hata kabla sijaanza chekechea tayari najua kusoma na kumultiply,kujumlisha.kuna muda nlikuwa nasoma kitabu chote Kisha nangojea ufafanuzi tu darasani.imagine mwalimu anasema haya Fulani nyanyuka utusonee hadithi sijui ya pwagu na pwaguzi,mie nakaa pembeni Kila aya tayari nshaisoma ipo kichwani.
Turudi Sasa kwenye kusoma mie sijui ndio nimeumbwa,ubongo wangu hauchoki,ukichoka basi nasinzia.
Tangu Niko mdogo biblia naijua kuanzia mwanzo mpaka ufunuo namaliza. Magazeti ya kiu,the guardian,mwananchi,nipashe,sani.nasoma kuanzia ukurasa wa mbele mpaka mwisho.
Majarida ya FEMA yote nimesoma.na ndipo nlipopatia elimu ya ujana.yani ninyime chochote ila sio kitabu nlichokipenda,ninyime vyote ila sio gazeti.nlikuwa nkiboreka natafuta gazeti au kitabu,nkikukuta unasoma nakwambia kabisa ukimaliza naomba.nilikuwa nikitembea njiani naokota vipande vya magazeti nasoma huku natembea.ukinikuta nasoma Niko mbali hata ulimwengu wa nje sijui Nini kinaendelea.marafiki wa utotoni baba Yao alikua anafanya kazi ipp media,wanapewa magazeti Kila siku anarudi nayo.imagine natoka Naenda kwao kuchukua magazeti nasoma Kisha narudisha.majirani kule kwingine wanajua kabisa Abby anakuja kufata gazeti,ama akishasoma ananipa.
Ilifika kipindi nkipata pocket money nanunua magazeti njiani Kwa wale walikuwa wanauza kwenye meza.ni nadra kukuta kabinti kadogo miaka Ile kunanunua gazeti zaidi wazee na wafanyakazi.
Nlipopata kuingia kwenye zama zingine za tech nikaacha taratibu magazeti na vitabu hardcopy na kuhamia huku.
Huo ulevi ndio ulinifanya niijue jamiiforums tangu 2015 na tagu niingiie humu nikaona ni eneo mojawapo sahihi Kwa ulevi wangu..kusoma!
Mie bila kusoma Kwa siku ni kama Teja wa visungura au madawa akikosa ndio ubongo wangu unakuwa hivyo.
Simu ikiharibika huwa napata tabu sana.kama nlitaka siku isonge nikae karibu na rundo la vitabu.
Ilifika wakati watu nliokuwa naishi nao wananishangaa.niko tofauti na wengi.
kati ya zawadi niletee gazeti au kitabu au jarida nafurahi mno
Je hii ni kawaida?
Kuandika ndio ila sio sana.kumezidiwa.na kuandika je ?