Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Mimi nanyimwa lakini wengine wanamegewa

Tatizo la tutoto twa siku hizi, tunajiona tupo sahihi muda wote, hata kakikosea hakatak kuambiwa

Mwisho wa siku utakasikia..
"I believe in me."

Pumbavu, mtapata tabu sana, sumbua humu JF pekee kwenye fake ID, nje kanaufyata mdomo.
Na kanajiona kwenye mapenz hakana bahati.
Mwanamke wa sampuli hii unaweza juwa maisha anayoishi na mahala anapokaa hususani mwanamke mwenye utulivu zero na mropokaji, matuai kwake ni fasta, eti falaa nimemshangaa sana, ana stress sana nimeona nisibishane nae asinitafutie ban, eti hana cha kushauri amelazimika kujadili vazi la mwanaume kwani ni lazima aseme kwamba ni sheria sasa kila uzi uandike kitu, ana ujinga sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaishe, nikiongea naweza kuwa useless na mm.

But nikwambie kitu kimoja Doll,

Jitahid kuwa focused na inshu ambazo zitakufanya wew ku gain something.

Wachana na mambo ya kushauri na kukosoa sanaaa, you're not better enough.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu naacha.
Ila suala la mtu kuniambia kwamba kama sina cha kushauri niache. Angeweza pia kunyamaza maana yeye sio mtoa mada! Kama yeye anavyotaka niache pia na yeye angeweza kuacha kuniambia pia.
Kwanza yeye ndiyo wakwanza kuni quote na nikamjibu ndiyo akaja na hiyo comment yake.
Angeweza pia kunyamaza.
Kila mtu hapa anachangamsha genge pengine hata mtoa mada ndicho anachokifanya..na wewe ukiniambia nakosea kukosoa na wewe ndicho unachokifanya hapa kwenye huu Uzi.
 
Sawa mkuu naacha.
Ila swala la mtu kuniambia kwamba kama sina cha kushauri niache. Angeweza pia kunyamaza maana yeye sio mtoa mada! Kama yeye anavyotaka niache pia na yeye angeweza kuacha kuniambia pia.
Kwanza yeye ndiyo wakwanza kuni quote na nikamjibu ndiyo akaja na hiyo comment yake.
Angeweza pia kunyamaza.
Kila mtu hapa anachangamsha genge pengine hata mtoa mada ndicho anachokifanya..na wewe ukiniambia nakosea kukosoa na wewe ndicho unachokifanya hapa kwenye huu Uzi.
 
Fala siyo tusi mkuu . kwa kingereza wanasema "useless" sema kwa kiswahili lina makali.
Hivi kwenye huu Uzi ananiambia nimshauri mtoa mada, kuhusu nini sasa?
Maana mambo ninayoona ya kujadili ni mawili.
1: mwandiko wake
2: picha yake (kwa sababu kaiatach ili tuijadili).
Sasa mimi nimeamua kubase kwenye picha kosa langu ni nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la tutoto twa siku hizi, tunajiona tupo sahihi muda wote, hata kakikosea hakatak kuambiwa

Mwisho wa siku utakasikia..
"I believe in me."

Pumbavu, mtapata tabu sana, sumbua humu JF pekee kwenye fake ID, nje kanaufyata mdomo.
Na kanajiona kwenye mapenz hakana bahati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kweli hawa si ndiyo wakina slay queen, kazi ni kutafua attentions maana sioni kama ni sheria lazima kila uzi mtu utie coment sasa haka kanijiita baby doll anamkejeri jamaa mavazi yake unajua ni ujinga sana, kazi ni kutafuta attention ili vijana wakurupuke waende pm huko ni ujinga nimeona nisikae kimya nimpe muongozo ingawa nimeambulia matusi nmegundua ni stress za kukosa bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom